Nahitaji shamba la mahindi la kukodi lililo karibu na iringa mjini

MKOBA2011

Senior Member
Jul 12, 2011
142
27
Wadau mimi naishi Iringa mjini nahitaji shamba la kulima mahindi ambalo halipo mbali sana na mji kwa ajili ya msimu ujao wa kilimo kama heka tano hivi.Mdau yeyote mwenye ufahamu tujuzane maana mambo ya kilimo kwanza.
 
Back
Top Bottom