Nyaraka zipo. Unaambia saini hapa wala hupewi muda wa kusoma nyaraka nzima kujiridhisha na kilichomo. Au wewe uliwahi kupewa nyaraka hizo uendenazo nyumbani ukazisome kabla ya kuzisaini halafu urudi benki kesho yake kuzisaini na kuwakabidhi? Tuelimishe.
Nampongeza kwa uwazi wenye mashaka. Wanaume wakatoliki ndoa zao zinadorora na kisha kuvunjika kwq sababu ya WAWATA lakini wako kimya. Kanisa katoliki wamewapa WAWATA uhuru mkubwa dhidi ya kuwepo kwa ndoa zao na kuathiri ndoto za waume zao.
Ni wajinga tu wanaweza kuamini maneno ya mbunge aliyeuliza swali na majibu ya naibu waziri aliyejibu hilo swali. Huyo naibu waziri hatakiwi kuwa anakikalia hicho kiti kwa sasa.
Tofauti ya bei iko wazi na huhitaji kuwa waziri kulijua hilo. Tatizo ni uongo wa kila siku wa hawa ndugu zetu. Tofauti ya bei kati ya mkoa na mkoa inatokana na gharama za usafirishaji tu basi.
Sina hakika kama makala hii ndefu inamlenga Tundu Lissu kama binadamu tu au inamlenga kama binadamu lakini pia kama mwanasiasa mpinzani mahiri wa CCM.
Mimi nina kidole cha pili (SHAHADA) ambacho urefu wake unalingana na urefu wa kidole cha tatu (CHA PETE). Vidole vinavyobaki ni GUMBA na CHA...
Unajua CCM wengi huwa hawana akili ya kuchanganua mambo kwa weledi. Ndiyo maana wanatuangusha katika kila nyanja. Sasa kwa kuingia na jezi alizozitaja kunasababisha nini? Ndiyo maana nchi yetu inasuasua kwenye maendeleo. Hivi watu wakiingia bila hizo jezi alizokataza halafu kwa mfano kwenye...
Hydrogen Sulfide is a byproduct produced in Biogas Digester systems. It is both toxic and can burn thereby causing uncalled for loss of life because it is poisonous.
The use of biogas without first cleaning Hydrogen Sulfide from it can cause death. Take care.
Mahojiano nimeyasikiliza kwa kuyarudiarudia kwa makini. Mabeyo ni mtu makini sana ninamjua. Lakini kwa maoni yangu mahojiano hayo hayakuwa yanalenga kueleza kilichotokea wakati ule wa immediately kabla ya kifo cha JPM na mara baada ya kifo chake bali yanaashiria kinachoendelea huko ndani ambacho...
Joran Lwehabura Bashange vs Minister for Constitutional & Legal Affairs & Another (Misc. Civil Cause No. 12 of 2023) [2024] TZHC 774 (13 March 2024)
Mahakama ya Rufaa Tanzania imeamua:
From the analysis above and fortified with the authorities cited, the Court declares, and orders as follows...
Tanzania na hasa Dar es Salaam walishindwa hata kupambana na KUNGURU mijini. Kunguru wamejaa kila mahali. Walipata mkopo wa kupambana nao sasa ukiwauliza mafanikio watakwambia uongo mtupu. Ni waongooooooooo sana. Acheni uongo kuzinusuru nchi zetu.
Vituo vya Daladala vinanuka harufu ya samaki...
Takwimu ni jambo jema na linasaidia kuonyesha njia. Utekelezaji wa mipango ya maendeleo ni jambo tofauti kabisa. Uongo mwingi sana ndilo donda ndugu linaloitafuna Africa. Wakiacha uongo tutapata nafuu kubwa kuelekea njia ya kuzipatia nchi zetu maendeleo ya kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.