Search results

  1. MTAMBOKITAMBO

    Natafuta mtu anayeweza develop Wordpress templates nifanye naye kazi!

    Habari wadau,kama kichwa cha habari kinachosema hapo juu naomba kama kuna mtaalam wa kudevelop hizo templates from scratch nifanye naye projects za hela.Naomba uni PM kama wewe ni mhusika. Tafadhali,sihitaji mawazo tofauti wala ushauri usiokuwa na mpango.Ahsanteni
  2. MTAMBOKITAMBO

    Msaada:Naomba mtu anitengenezee LOGO

    Nimeipata mkuu,nashukuru kwa kuipenda kazi yangu.Mungu akubariki ufanikiwe zaidi kwenye hiyo kampuni uliyoianzisha.
  3. MTAMBOKITAMBO

    Msaada:Naomba mtu anitengenezee LOGO

    Haya hiyo hapo mkuu,kazi kwako.
  4. MTAMBOKITAMBO

    UDOM yatapika wanafunzi zaidi ya elfu mbili

    Hebu elezea kwa undani kidogo maana hii ishu ni kubwa kwa sisi wenye ndugu waliochaguliwa huko UDOM!
  5. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wana udom kuhusu bima ya afya

    Ahsanteni sana wadau,ngoja tutajua huko huko.
  6. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wana udom kuhusu bima ya afya

    Habarini wadau,ningependa kupewa taarifa kuhusu kujiunga na Bima ya Afya je ni inatakiwa kujiunga kabla hujaenda chuo ama ukifika chuo ndio kuna utaratibu wa kujiunga huko?Maana kwenye website ya NHIF sijaona maelekezo yaliyonyooka ya wapi unatakiwa kujiandikishia na wapi kuchukulia hizo forms...
  7. MTAMBOKITAMBO

    Kutoa na Kutotoa Namba ya Simu kwa Wanawake

    Kama hataki basi mwache akose bahati...
  8. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

    Ushauri mzuri MtotoSix,hope watalifanyia kazi mamods wa humu.Wabongo tunadharau sana graphics,ila siku tutalipia tu,iwe isiwe!
  9. MTAMBOKITAMBO

    Jinsi ya kutengeneza Logo ya kampuni au shirika

    If you are really serious mkuu inabidi ulipie logo hata kwa pesa kidogo,huwezi kuwa na kampuni halafu ukashindwa lipia hata elfu shilingi kadhaa za logo professional!Kumbuka wengi wanaodai kutengeneza logo bure wanaweza kuwa aidha sio serious into graphics business ama wanategemea pia utawapa...
  10. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

    Nashukuru sana mkuu,pamoja!Mimi natumia Illustrator na Photoshop CS5 kwa sasa.Tutawasiliana mkuu. Cheers!
  11. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

    Nimeziona mkuu,kazi nzuri.But katika designing unaweza fanya kazi nzuri nyingi lakini mteja wako akachagua isiyovutia zaidi.Ukianza kuwa serious na designing utagundua hili.Kuna industries hazihitaji mbwembwe kabisa bali ni simple na professional logos!Na mimi mwanzoni nilikuwa nadesign very...
  12. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

    Ahsante mkuu,nitalifanyia kazi hilo.Lakini hizo ndizo ambazo wateja wangu walizichagua,japokuwa naweza design attractive zaidi kutokana na mahitaji ya mteja.Mfano,haipendezi kuweka mbwembe nyingi kwenye logo ya kampuni ya ujenzi.Huwa natoa form ya kujaza mteja namna apendeleavyo logo yake...
  13. MTAMBOKITAMBO

    Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

    Habari wakuu,weekend inakwendaje pande zenu...Sasa wadau wa hili jukwaa naomba msaada wa ushauri wenu kweny hii blog yangu ya http://www.logozetu.blogspot.com/ Blog inahusu graphics designing kwa ujumla kama vile logo design,banners...nk. Najua mawazo yenu yatanisaidia mimi na wadau wengine...
  14. MTAMBOKITAMBO

    Nadesign LOGO/ NEMBO za uhakika cheki samples kwenye blog yangu

    Habari wakuu,mimi ni kijana mdau wa graphics.Nadesign logo,banners,websites,images...na kazi zangu ni za haraka na uhakika.Kwa wale mtakaohitaji logo ama nembo za biashara zenu msisite kuwasiliana nami. Tembelea blog yangu www.logozetu.blogspot.com ujionee mifano ya kazi zangu. email...
  15. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Dah!Mkuu bora umesema wewe...maana!!!Ndio maana nikaweka picha waonekane na majirani,sasa hapo ndio utajiuliza hao majirani wanaishije bila maji?
  16. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Ongeza 5.5mil uchukue mkuu.
  17. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Eneo wanalolipwa liko mbele zaidi ambapo kwa sasa ndio wanalipwa,hiki kiwanja hakipo eneo hilo!
  18. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Jipange upande dau mkuu, laiti kama ungeliona hilo eneo...
  19. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Ukitokea Mbezi kipo upande wa kushoto.Hizo ni mita na sio futi.Mkuu viwanja vinatofautiana,kuna vingine tambarare na vingine madongo kuinama na gari haifiki!So,bei lazima itofautiane! Hiyo 15m ni bei ya kuanzia,kama upo serious piga namba hiyo uongee biashara. Cheers!
  20. MTAMBOKITAMBO

    Kiwanja kinauzwa kibamba ccm,wahi sasa!!!!

    Kwa aliye serious na hicho kiwanja apige namba iliyotolewa hapo juu,ahsanteni kwa kunirekebisha kosa langu la "ft badala ya mita".
Back
Top Bottom