Habari wadau,kama kichwa cha habari kinachosema hapo juu naomba kama kuna mtaalam wa kudevelop hizo templates from scratch nifanye naye projects za hela.Naomba uni PM kama wewe ni mhusika.
Tafadhali,sihitaji mawazo tofauti wala ushauri usiokuwa na mpango.Ahsanteni
Habarini wadau,ningependa kupewa taarifa kuhusu kujiunga na Bima ya Afya je ni inatakiwa kujiunga kabla hujaenda chuo ama ukifika chuo ndio kuna utaratibu wa kujiunga huko?Maana kwenye website ya NHIF sijaona maelekezo yaliyonyooka ya wapi unatakiwa kujiandikishia na wapi kuchukulia hizo forms...
If you are really serious mkuu inabidi ulipie logo hata kwa pesa kidogo,huwezi kuwa na kampuni halafu ukashindwa lipia hata elfu shilingi kadhaa za logo professional!Kumbuka wengi wanaodai kutengeneza logo bure wanaweza kuwa aidha sio serious into graphics business ama wanategemea pia utawapa...
Nimeziona mkuu,kazi nzuri.But katika designing unaweza fanya kazi nzuri nyingi lakini mteja wako akachagua isiyovutia zaidi.Ukianza kuwa serious na designing utagundua hili.Kuna industries hazihitaji mbwembwe kabisa bali ni simple na professional logos!Na mimi mwanzoni nilikuwa nadesign very...
Ahsante mkuu,nitalifanyia kazi hilo.Lakini hizo ndizo ambazo wateja wangu walizichagua,japokuwa naweza design attractive zaidi kutokana na mahitaji ya mteja.Mfano,haipendezi kuweka mbwembe nyingi kwenye logo ya kampuni ya ujenzi.Huwa natoa form ya kujaza mteja namna apendeleavyo logo yake...
Habari wakuu,weekend inakwendaje pande zenu...Sasa wadau wa hili jukwaa naomba msaada wa ushauri wenu kweny hii blog yangu ya http://www.logozetu.blogspot.com/ Blog inahusu graphics designing kwa ujumla kama vile logo design,banners...nk.
Najua mawazo yenu yatanisaidia mimi na wadau wengine...
Habari wakuu,mimi ni kijana mdau wa graphics.Nadesign logo,banners,websites,images...na kazi zangu ni za haraka na uhakika.Kwa wale mtakaohitaji logo ama nembo za biashara zenu msisite kuwasiliana nami.
Tembelea blog yangu www.logozetu.blogspot.com ujionee mifano ya kazi zangu.
email...
Ukitokea Mbezi kipo upande wa kushoto.Hizo ni mita na sio futi.Mkuu viwanja vinatofautiana,kuna vingine tambarare na vingine madongo kuinama na gari haifiki!So,bei lazima itofautiane!
Hiyo 15m ni bei ya kuanzia,kama upo serious piga namba hiyo uongee biashara.
Cheers!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.