LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
- Thread starter
- #21
Nakuuliza mtoa mada, nijibu then na mimi ntakujibu, Je huwa mnajisikiaje mnapokutana na mwanamke, ukaongea nae dakika mbili tu na hapo hapo unaomba namba? lengo huwa nini?
Kichwani kwa wanaume wengi duniani, kuomba namba ya simu ni kutaka kuendeleza uhusiano ambapo lengo lake kuu huwa ni Mapenzi.