MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
Habarini wadau,ningependa kupewa taarifa kuhusu kujiunga na Bima ya Afya je ni inatakiwa kujiunga kabla hujaenda chuo ama ukifika chuo ndio kuna utaratibu wa kujiunga huko?Maana kwenye website ya NHIF sijaona maelekezo yaliyonyooka ya wapi unatakiwa kujiandikishia na wapi kuchukulia hizo forms za registration.Thanks in advance