Heshima kwenu wana jamvi. Naomba mwenye taaluma ya jinsi yakutengeneza logo ya kijikampuni changu hapa uwezo wa kununua sina na taaluma ya it sina kabisa naombeni msaada.
Thanks mkuu kwa uungwana wako. nimekutumia mailHello habari, toa specifications ya Kampuni yako ina deal na shughuli gani? kama una corporate colours na vision yako. email jkalundi@gmail.com Am graphic Designer
Nimetumia hiyo software nimetengeneza lakini kuitoa kuweka kwenye document zangu imekataa kama unaweza kutoa msaada zaidi nitashukuru hasa kwenye kuihamishia kwenye ms wdKwani unavyo jua bei ya kutengenezewa logo ni bei gani? acha ubahiri..lol
unamiliki Kamuni hela ya kutengeneza logo huna? kua serious mkuu
Hello habari, toa specifications ya Kampuni yako ina deal na shughuli gani? kama una corporate colours na vision yako. email jkalundi@gmail.com Am graphic Designer
unamiliki Kamuni hela ya kutengeneza logo huna? kua serious mkuu
huyu anataka kumsaidia ili azidi kuwa more competent kwa fani hiyo..koo namie nitumie details ya kampuni, what your motto is, what you deal with.. nitakutengenezea logo usiwasikilize wanaokusema kwa kutokua na hela. bill gates alikuwa anatumia simu za chuo ya washington kufanyia deali, uwezo wa kuwa na private line hakuwa nayo, look where he's @ now. kutokuwa na finances has never hindered anybody with a vision
mkuu mkwawa anatoa ufafanuzi juu ya uanzishaji wa kampuni..Kampun bongo kutengeneza sh 6500 hadi 13 sasa we washangaa nini kwamba ana 13000 halafu hana logo?
huyu biashara zaidi..If you are really serious mkuu inabidi ulipie logo hata kwa pesa kidogo,huwezi kuwa na kampuni halafu ukashindwa lipia hata elfu shilingi kadhaa za logo professional!Kumbuka wengi wanaodai kutengeneza logo bure wanaweza kuwa aidha sio serious into graphics business ama wanategemea pia utawapa kitu kidogo later.Kama jasho la mtu halali kuliwa,kuuuuuula!
Cheki
LOGOZETU
Ukipenda designs zangu za logo,nicheki kwenye e-mail tutafanya kazi yenye quality.
huyu leh anataka kumsaidia ili azidi kuwa more competent kwa fani hiyo..
mpaka hapo sijui nani anataka kutoa msaada juu ya utengenezaji wa logo :shocked::A S 39:
sisemi wengine ila on my behalf, mie nipo kwa kusaidia anytime anywhere. I never pass off a chance to help if I can help. its just who I am