MTAMBOKITAMBO
Senior Member
- Jun 2, 2011
- 194
- 39
- Thread starter
- #21
Kwa aliye serious na hicho kiwanja apige namba iliyotolewa hapo juu,ahsanteni kwa kunirekebisha kosa langu la "ft badala ya mita".
Ukitokea Mbezi kipo upande wa kushoto.Hizo ni mita na sio futi.Mkuu viwanja vinatofautiana,kuna vingine tambarare na vingine madongo kuinama na gari haifiki!So,bei lazima itofautiane!kipo upande gani ukitokea mbezi! na pia ni 20*50 m! kama ni futi ni kwamba ata nyumba haitoshi kabisa! pia hiyo bei ni kubwa sana kwani kuna jamaa yangu alinunua kiwanja kibamba kwa mangi aka mji mpya ambao ni 0.5 km kutoka moro road chenye ukubwa wa 25*35m kwa mil 6.5 ila sio surveyed! punguza beo tufanye biashara!
Jipange upande dau mkuu,Chukua 7mil.
Ongeza 5.5mil uchukue mkuu.Ndugu hiyo bei ni kubwa mno hata kama maelewano yapo umeanzia mbali sana,mie nina 6.5mil.unasemaje!.
Kina hati? Maji umeme je? Kituo cha Polisi cha karibu ni umbali gani?
Dah!Mkuu bora umesema wewe...maana!!!Ndio maana nikaweka picha waonekane na majirani,sasa hapo ndio utajiuliza hao majirani wanaishije bila maji?mmmh!kazi kweli kweli!!kiwanja kina maji na umeme!?