Msaada wa ushauri kwenye hii blog yangu ya logo design

MTAMBOKITAMBO

Senior Member
Jun 2, 2011
194
39
Habari wakuu,weekend inakwendaje pande zenu...Sasa wadau wa hili jukwaa naomba msaada wa ushauri wenu kweny hii blog yangu ya http://www.logozetu.blogspot.com/ Blog inahusu graphics designing kwa ujumla kama vile logo design,banners...nk.
Najua mawazo yenu yatanisaidia mimi na wadau wengine wenye mawazo kama yangu ya kufanya kazi online.Kutokuwa na ofisi kusitufanye kuwa masikini wakati vipaji tunavyo vijana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Cheers!

Moja ya kazi zangu ni hii...

mashedo1111.jpg
 
nna logo nyingi nimetengeneza for fun, pia nna flyers na takataka kibao, pitia photo gallery uone picha kadhaa zangu
 
logo zako sio mbaya ila (na sio kwa ubaya) they lack that attraction. yaani ziko bland sana #mythots
on another note, avatar yako nzuri :)
 
logo zako sio mbaya ila (na sio kwa ubaya) they lack that attraction. yaani ziko bland sana #mythots
on another note, avatar yako nzuri :)
Ahsante mkuu,nitalifanyia kazi hilo.Lakini hizo ndizo ambazo wateja wangu walizichagua,japokuwa naweza design attractive zaidi kutokana na mahitaji ya mteja.Mfano,haipendezi kuweka mbwembe nyingi kwenye logo ya kampuni ya ujenzi.Huwa natoa form ya kujaza mteja namna apendeleavyo logo yake iwe.Cheki logo kama ya NIKE ama PEPSI utagundua nielezeacho.

Cheers!
 
nakuelewa kabisa MTAMBOKITAMBO. keep up the good work. siku ukitaka perspective tofauti ya logo uliyoitengeneza usihofu kuniuliza, najivunia kaufundi kidogo wa image design na naweza kusaidia maybe
natumia imageready, illustrator, photoshop na fireworks (cs4 zote), wewe?
 
Last edited by a moderator:
nna logo nyingi nimetengeneza for fun, pia nna flyers na takataka kibao, pitia photo gallery uone picha kadhaa zangu
Nimeziona mkuu,kazi nzuri.But katika designing unaweza fanya kazi nzuri nyingi lakini mteja wako akachagua isiyovutia zaidi.Ukianza kuwa serious na designing utagundua hili.Kuna industries hazihitaji mbwembwe kabisa bali ni simple na professional logos!Na mimi mwanzoni nilikuwa nadesign very complex logos for fun.Now i'm learning this business deeply.

Cheers!
 
nakuelewa kabisa MTAMBOKITAMBO. keep up the good work. siku ukitaka perspective tofauti ya logo uliyoitengeneza usihofu kuniuliza, najivunia kaufundi kidogo wa image design na naweza kusaidia maybe
natumia imageready, illustrator, photoshop na fireworks (cs4 zote), wewe?
Nashukuru sana mkuu,pamoja!Mimi natumia Illustrator na Photoshop CS5 kwa sasa.Tutawasiliana mkuu.

Cheers!
 
ndo maana niliomba mods waweke sub-forum kwa ajili ya wanaopenda kufanya graphics, ili tushee experience, mi natumia sana photshop cs5, na illustrator kiasi, fireworks! napenda kuwapa watu tutorial za photoshop nnazozijua na pia kushea some of my works in psd format ili wanaoanza wajifunze kwa urahisi
 
Ushauri mzuri MtotoSix,hope watalifanyia kazi mamods wa humu.Wabongo tunadharau sana graphics,ila siku tutalipia tu,iwe isiwe!
 
Back
Top Bottom