Wakuu,Habarini.
Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?
Na je kwa watoto wadogo kuanzia umri gani anatakiwa kupata chanjo io.
Ahsanteni.
Leo nmeamka na mood ya mapenzi sana.
au ni hali ya khewa hii[emoji12]
Dedication kwa Babe wangu,Baby dady(Meck).
Darassa feat Bien-No body
No body can love you better than i do baby.
Habari ya usiku wapendwa,
nmeng'atwa na tandu usiku huu ila nmefanikiwa kumuua,
Huduma ipi ya kwanza niipate kabla ya asubuhi?
Kuna storu nyingi kuhusu tandu zinszoogopesha.
Msaada tafadhali
Habari za wakati huu wana jamvi. Nmeona nije uku niandike nitoe machungu ya moyoni maana nahisi kuzidiwa na maumivu.
Nmeibiwa leo asubuhi kazini, hela za ofisi pamoja na wallet yangu iliyokuwa na vitambulisho na hela pia na zimeibwa kwenye hali ambayo nikikueleza ata haieleweki.
Ilikuwa...
Mimi nimekata tamaa, nimefika mahali ambapo sioni mbele, nipo mahali ambapo ni kama jangwa sioni tumaini kabisa, nimechoka sana.
Mama yangu anaumwa kansa, ana fight nayo sana sijui ni kansa ya nini ila imesababishwa na kidonda, alikuwa na kisukari akapata kidonda na icho kidonda hakijapona hadi...
Habarini wakuu,
Cancer stage ya kwanza na ambayo haijaenea wala kuathiri chochote mwilini kuna uwezekano wa mgonjwa kupona?
Mama yangu alipatwa na jipu likapelekea kidonda kikubwa sana na sasa ana Cancer ila ipo eneo ilo tu lenye kidonda na ameanza tiba mionzi.
Kuna uwezekano akapona kabisa...
Habarini wana jamvi,
Mimi ni msichana nina miaka 25,
natafuta ajira nina uzoefu wa miaka 4 nikifanya kazi kama Admin Assistant.
miaka mi 3 nikiwa katika mradi wa elimu na mwaka 1 kwenye mradi wa barabara.
nina uhitaji wa kazi,
Tafadhali naomba ni'PM kwa maelezo zaidi na kama kuna nafasi ya...
Habari za asubuhi,
Asubuhi ya leo nafungua account yangu ya instagram nikakutana na kitu iki,
siwezi ku'log in,
msaada mwenye ufahamu na ili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wana jamvi
Mama yangu amekua akisumbuliwa na kisukari kwa miezi miwili sasa,na changamoyo kubwa imekua ni vyakula gani vizuri kwa mtu mwenye ugonjwa huu.
msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya humu ndani jamani,
Natafuta chumba kimoja self Morogoro, nina uhitaji mno kwa dalali na ambae mwenye nyumba naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukrani
Habarini wanajukwaa,
Kwa mara ya kwanza nakuja jukwaani apa, natafuta mwanaume ambae atakuja kua mchumba na baadae ndoa, Mungu akijalia, nimepitia mirejesho mingi wapo walifanikiwa humu juwaani.
Mimi ni msichana nina miaka 24, nimuajiriwa sekta binafsi Iringa, Msukuma kwa kabila na ni mkristo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.