Yna aika
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 349
- 1,010
Mimi nimekata tamaa, nimefika mahali ambapo sioni mbele, nipo mahali ambapo ni kama jangwa sioni tumaini kabisa, nimechoka sana.
Mama yangu anaumwa kansa, ana fight nayo sana sijui ni kansa ya nini ila imesababishwa na kidonda, alikuwa na kisukari akapata kidonda na icho kidonda hakijapona hadi kimeleta kansa. Tumeangaika mahospitalini sana na sasa yupo kwenye tiba ya chemotherapy
Nimetumiwa message leo kuwa hajashinda vizuri kabisa, natakiwa kwenda. Moyo unaniuma sana mama yangu bado kijana tu.
Nina mambo mengi siwezi elezea yote, nimefika mahali nimekata tamaa kabisa
UPDATES:
Wakuu mbarikiwe kwa kunitia moyo katika wakati ule mgumu niliokua nao sana,
Hakika hatutakiwi kukata tamaa,kukata tamaa ni dhambi tunatakiwa kushukuru kwa kila jamno ingawa wakati mwingime haiwi rahisi lakini yatupasa kushukuru tu Mungu yeye ni mwema siku zote.
Huu uzi apo chini nmeusoma wote na kila mtu anapitia changamoto zake katika maisha na kukata tamaa ni mwiko.
Mimi sitokata tamaa tena wala sitaruhusu ayo mawazo yanijie,
Na mama yangu anaendelea vizuri sana tunaamini kua atapigana na cancer na atatoka akiwa mshindi
Mbarikiwe
Ni kipindi gani kigumu kimaisha ulishawahi kupitia ambacho huwezi kusahau na kilikupa hasira ya kutafuta pesa kwa nguvu?
Mama yangu anaumwa kansa, ana fight nayo sana sijui ni kansa ya nini ila imesababishwa na kidonda, alikuwa na kisukari akapata kidonda na icho kidonda hakijapona hadi kimeleta kansa. Tumeangaika mahospitalini sana na sasa yupo kwenye tiba ya chemotherapy
Nimetumiwa message leo kuwa hajashinda vizuri kabisa, natakiwa kwenda. Moyo unaniuma sana mama yangu bado kijana tu.
Nina mambo mengi siwezi elezea yote, nimefika mahali nimekata tamaa kabisa
UPDATES:
Wakuu mbarikiwe kwa kunitia moyo katika wakati ule mgumu niliokua nao sana,
Hakika hatutakiwi kukata tamaa,kukata tamaa ni dhambi tunatakiwa kushukuru kwa kila jamno ingawa wakati mwingime haiwi rahisi lakini yatupasa kushukuru tu Mungu yeye ni mwema siku zote.
Huu uzi apo chini nmeusoma wote na kila mtu anapitia changamoto zake katika maisha na kukata tamaa ni mwiko.
Mimi sitokata tamaa tena wala sitaruhusu ayo mawazo yanijie,
Na mama yangu anaendelea vizuri sana tunaamini kua atapigana na cancer na atatoka akiwa mshindi
Mbarikiwe
Ni kipindi gani kigumu kimaisha ulishawahi kupitia ambacho huwezi kusahau na kilikupa hasira ya kutafuta pesa kwa nguvu?