Yna aika
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 349
- 1,010
Habarini wakuu,
Cancer stage ya kwanza na ambayo haijaenea wala kuathiri chochote mwilini kuna uwezekano wa mgonjwa kupona?
Mama yangu alipatwa na jipu likapelekea kidonda kikubwa sana na sasa ana Cancer ila ipo eneo ilo tu lenye kidonda na ameanza tiba mionzi.
Kuna uwezekano akapona kabisa na kurejea hali yake ya kawaida na kidonda kikafunga kabisa?
JF Doctors msaada wa maelezo ya kitabibu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cancer stage ya kwanza na ambayo haijaenea wala kuathiri chochote mwilini kuna uwezekano wa mgonjwa kupona?
Mama yangu alipatwa na jipu likapelekea kidonda kikubwa sana na sasa ana Cancer ila ipo eneo ilo tu lenye kidonda na ameanza tiba mionzi.
Kuna uwezekano akapona kabisa na kurejea hali yake ya kawaida na kidonda kikafunga kabisa?
JF Doctors msaada wa maelezo ya kitabibu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app