Yna aika
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 349
- 1,010
Habari za wakati huu wana jamvi. Nmeona nije uku niandike nitoe machungu ya moyoni maana nahisi kuzidiwa na maumivu.
Nmeibiwa leo asubuhi kazini, hela za ofisi pamoja na wallet yangu iliyokuwa na vitambulisho na hela pia na zimeibwa kwenye hali ambayo nikikueleza ata haieleweki.
Ilikuwa asubuhi ya leo nimefika kazini huwa tuna utaratibu wa kunywa chai kabla ya muda wa kazi kuanza.
Mlinzi wetu aliniomba ruhusa ya kwenda hospitali maana alikuwa anaumwa sana, nikamruhusu mimi nikajumuika na wengine kunywa chai.
Baada ya kama dk 5 au 10 za kunywa chai narudi kwenye meza yangu nakuta droo zipo wazi,nafungua hela hazipo na wallet haipo, kutoka nje kuulizia tunaambiwa wamemuona mtu ameingia na kutoka akiwa amevaa kofia iliofunika sura.
Nikawa nimeibiwa kwa namna io.
Nmeibiwa leo asubuhi kazini, hela za ofisi pamoja na wallet yangu iliyokuwa na vitambulisho na hela pia na zimeibwa kwenye hali ambayo nikikueleza ata haieleweki.
Ilikuwa asubuhi ya leo nimefika kazini huwa tuna utaratibu wa kunywa chai kabla ya muda wa kazi kuanza.
Mlinzi wetu aliniomba ruhusa ya kwenda hospitali maana alikuwa anaumwa sana, nikamruhusu mimi nikajumuika na wengine kunywa chai.
Baada ya kama dk 5 au 10 za kunywa chai narudi kwenye meza yangu nakuta droo zipo wazi,nafungua hela hazipo na wallet haipo, kutoka nje kuulizia tunaambiwa wamemuona mtu ameingia na kutoka akiwa amevaa kofia iliofunika sura.
Nikawa nimeibiwa kwa namna io.