Naomba kujuzwa vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka

Yna aika

JF-Expert Member
Aug 29, 2017
349
1,010
Habarini wana jamvi,

Ningependa kufahamu ni vyakula vipi vinasaidia kuongeza damu mwilini kwa haraka,

Mbarikiwe.
 
Chemsha majani ya mparachichi kunywa yanaongeza damu haraka sana,mchemsho wa tembele kila mlo,chukua tende toa mbegu zisage pamoja na maziwa fresh kunywa angalau usage tende nne na maziwa robo Lita kwa siku.

Nunua beet root saga kwenye kikwangulio Cha karoti Kama huna blenda changanya na juice ya chungwa kunywa,kunywa maji zaidi ya Lita tatu kwa siku.Sio lazima ufanye yote fanya vinavyopatikana kwa mazingira yako, damu isipoongezeka nenda kaombewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom