Wakuu,Habarini.
Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?
Na je kwa watoto wadogo kuanzia umri gani anatakiwa kupata chanjo io.
Ahsanteni.
Wakuu,Habarini.
Ningependa kujua kwa Dar ni hospital zipi wanapima na kutoa chanjo ya homa ya ini?
Na je kwa watoto wadogo kuanzia umri gani anatakiwa kupata chanjo io.
Ahsanteni.
Huu ugonjwa hatari sana, nilipokuwa na mahusiano na foreigner baada ya kunizoea kabla hajanipa tunda akanikomalia twende hospital nikachome sindano ya homa ya ini wenzetu wapo makini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.