Bango linajieleza wadau napenda sana kahawa hasa ya kienyeji nikishakunywa tu hapakaliki home wife sometimes akiona nakunywa anasepa kokote.
Kinachotokea nakosa subira no excuse hapakaliki hii ni tatizo au nini?[emoji26]
Wadau habari za wikiendi.
Katika pita pita zangu mwezi Wa sita nikakutana na bint wa Kiiraq mtandaoni wa Mto wa mbu tukaanza kuchati kama utani Jana nikafunga safari tukaonane.
Leo asubuhi tukakutana cha ajabu nimemkuta ana Vitz sehemu aloniambia tukutane.Baada ya stories nashangaa...
Habari za asubuhi kuna dada wa kazi wa jirani yangu kaja tukapiga stori kadhaa baada ya boss wake kusafiri.
Alichoniambia kimenistua mpaka nimëmpa 20000 kama hongera. Alichoniambia ni kuwa boss wake hakai nyumbani hutoka toka na kumwachia mwanae mgonjwa mgonjwa.
Leo ni siku ya saba boss wake...
Nimetorokwa na housegirl Ubungo Leo. Jana usiku kanigongea akaniambia kafiwa na mama yake mzazí huko mashewa Tanga nikampa 50,000 kama nauli. Baada ya yeye kutoka asubuhi nikabadili mawazo ili nimsindikize.
Nikampigia Simu anisubiri twende wote hapokei simu. Nilipowajaribu ndugu zake tena...
Habari wakuu.Naandika malalamiko yangu juu ya baadhi ya benki kuchelewa kurudisha(reverse) miamala iliyokosewa kwa wakati.Yapata mwezi sasa dada yangu alituma pesa kutoka benki fulani kwenda benki nyingine kiasi cha milioni mbili kama ada ya mwanae ya chuo.
Chuo hicho kina akaunti tatu tofauti...
Habari za jioni!
Kuna baadhi ya wanawake kila siku gubu ukali kumfokea mumewe Mbele ya watoto mara watoto wanakwepa ngumi ya mama duu nyumba ya moto tatixo nini?
Papuchi watu wanapigana mitama kwanza ndo mwanaume ampumulie kisogo mkewe.Jirani yangu kavimba mdomo kila siku anabamizwa na mwiko...
Kuna jamaa mwenzangu analalamika kila siku huku akifikiria cha kufanya na kukwama kimawazo.
Yeye anaishi na mzazi wake mmoja wa kike baba yake alifariki.Tatizo huyu mzazi wake hajiwezi mke wa huyu jamaa ndo anampikia kumfulia na kila kitu.
Watoto wengine wanamletea pesa wako mjini na ni nadra...
Hi hapa home kuna basi limeungua miaka mingi iliyopita limekuwa kichaka cha wagegedanaji usiku mwenyewe hakurudi tangu liungue.
Je vitu gani ambavyo vinaweza kutengenezeka baada ya gari kushika moto kisawasawa?
Hi greatest thinkers,
Nimeanza ujenzi kijijini sasa hivi nyumba ipo kwenye lenter navuta nguvu nyingine nimalizie.Tatizo kuna baadhi ya watu kijijini wananibeza eti ninajenga chaka bora ningejenga mjini.
Najiuliza hili swali kwanini watu wana dhana hii mimi naiita potofu.Hata baadhi ya watu...
Wadau ninavyoandika uzi huu nawaza leo tena sijui atanitokea ndotoni sura yake huwa siioni namuona akiwa ufukweni tu sura anajificha sana.
Kila akinitokea asubuhi najikuta nimejichafua bukta Kwa migundi anakuwa akinipapasa miguuni kwenye nyayo huku kavaa kinguo kinachoonesha mapaja meupe...
Hi great thinkers nawaomba wote Tanzania tuwe wakali kuwakemea Dada zetu wanapojiingiza katika mikono ya waharibifu kwakuwa itakuwa hasara Kwa Dada zetu.Ukiona mvulana hana muelekeo Kwa Dada yako muonye kisaikolojia kabla ya kumuumiza kiakili ndugu yako.
Ikibidi benchi la ufundi litumike endapo...
Nimejisikia vibaya sana mke wa mtu anasaulwa pichu mchana kweupe gesti jina nalihifadhi.Mke huyo wa mtu ambae mumewe pia ni mtumishi hana analojua lakini nimemjulisha bila kujua ni Mimi nilie mjulisha.
Mbaya zaidi huyo mwanamke kaungua bosi anaona ujiko kula cha mtu ambacho kisinge faa...
Mmeamkaje? Katika siku kadhaa zilizopita Dada Ray C alimuomba JPM na serikali yake kuwa kuwe na sheria inayozuia urafiki kabla ya ndoa.Leo nimegundua aliona mbali sana.
Wapo mabint wengi wana rubuniwa na wanaume wazima na vijana wenzao pia.Wanaishi kwenye urafiki Kwa miaka huku jamaa wakiosha...
Nimeona umoja wa makabila tofauti hapa nchini wanapokuwa sehemu tofauti nje ya walipozakiwa.Mfano umoja wa wasambaa wa Lushoto waishio Zanzibar.
Nije kwenye hoja sasa.Katika tembea yangu yote hapa nchini sijaona umoja wa watu wenye asili ya Asia waishio mkoa Fulani.Tatizo lipo wapi?
Jana...
Hi great thinkers! Someone whispered me that Calvin got luck to talk to Donald Trump.
Calvin: Excuse me where is the lobby?
Trump: Down the hall to the left.
Calvin: Thanks.
I"m not good in searching evidences anybody there help me confirm this.Thanks.
Hi great thinkers baada ya juzi mwalimu mstaafu kuwapa mitaji wanae pesa zimeanza kutumika kama ifutavyo:
Watoto wa kike wawili wamenunua shamba ekari tano wameshanunua miche ya michungwa wanajiandaa kuipanda.
Wawili wa kike kila mmoja wamenunua vifaa vyote muhimu vya kufungua migahawa ikiwemo...
Nimeinyaka sehemu Fulani kuwa eti Mombasa Kenya ukipata msambwanda unakana uraia kabisa jinsi utakavyo bebwa kwenda bafuni mbupu zikawekwa kwenye kisosi zikisafisha Kwa ustadi wa hali ya juu.
Unaogeshwa unafutwa na taulo ukiwa mapajani udi unanukia samaki wa Ferry ya Likoni kashapakwa...
Habari za asubuhi wana Jf.Jana usiku nilishirikishwa kikao cha familia ya Mzee mmoja mstaafu mwalimu wa shule ya msingi wilaya ya Muheza Tanga.
Huyu mzee ni msambaa amepata milioni 77 ana watoto 6 wanne wa kiume wawili wa kike.Ni rafiki yangu sana ndo mana kanikaribisha kwenye kikao baada ya...
Habari zenu Jf niliomba ushauri kuhusu kuomba kuruhusiwa na mke wangu ninywe Kwa Uhuru.
Nilimuomba Jana usiku Kwa unyenyekevu kabisa huku nikimwambia nilishauriwa na daktari kabla sijamuoa Bali nilimficha kuhofia kumkosa.
Alisita lakini akakubali nikamwambia kama haamini amuulize ba mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.