Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane.
Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30.
Bei kwa sasa ni shilingi 600@kg, hapa inajumuisha Bei ya MAHINDI, gharama za kupeki pamoja na ushuru.
MAHINDI yanapatikana Mbinga mkoa wa Ruvuma.
Mawasiliano, 0758719493
Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane.
Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30.
Bei pia ni kulingana na bei ya soko Kwa wakati husika.
Habari ndugu zangu, naomba kwa yeyote mwenye kujua chimbo/sehemu panapouzwa vifaa/spare za pikipiki za mchina Kama SAN LG, HAOUJUE NA SINORAY kwa bei ya jumla na bei rafiki tafadhari naomba kuelekezwa.
UFAFANUZI KUHUSU MAKATO NA TOZO ZA UREJESHAJI MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Tunapenda kutoa ufafanuzi kuhusu maoni yaliyotolewa na wadau wetu mbalimbali kupitia vyombo vya habari vya jana (Jumanne, Februari 2, 2021) na leo (Jumatano, Februari 3, 2021) kuhusu makato na tozo katika urejeshaji wa mikopo...
Habari wanajamvi bila shaka Mungu anaendelea kumpigania kila mmoja wetu kwa namna ya pekee!
Niende kwenye mada moja kwa moja, ni hivi baada ya kuingia mzee baba nilishindwa kuendelea na biashara yangu sababu ya kushuka kwa mauzo, basi baada ya muda kupita nadhani bado matamanio ya kuwa na ofisi...
Wadau habarini?
Hivi majuzi baada ya kutoka mshahara wa mwezi mei kwa watumishi wa umma workmate mmoja alilalamika kuwa amekatwa mshahara wake na kiasi hicho cha fedha kinaonekana kuingizwa kwenye chama cha wafanyakazi (CWT) baada ya mjadala wa muda tukamhimiza afuatilie ofisi husika, binafsi...
Msaada wa ni hatua zipi naweza fanya zaidi ili nimpata mwizi wangu. Tarehe 7/12/2019 niliibiwa simu pamoja na fedha, nikapeleka polisi taarifa, nikaandikiwa loss report, nikaenda kwa mtandao wa simu nika-renew line, nikaenda tena polisi nikapeleka IMEI pamoja na box la simu wakidai itawasaidia...
Kuuliza ni kutaka kujua ama kupata ufafanuzi, ninakusudia kwenda mahakamani kuomba haki ya kuweza kumuona ama kutembelewa na mtoto wangu (binti wa miaka mitano) baada ya kutengana na mama yake.
Iko hivi baada ya mgogoro wa muda mrefu tuliamua kwa hiari yetu kutengana huku tukijiandikia...
Kama kichwa kinavyojieleza, nimeona free to air tv decoder inayoshika channel hadi 400 bila kulipia kwa maelezo ya muuzaji Aliye express, nikataka kujua kama decoder hiyo inaweza kunasa hata maeneo ya nje ya mji, akanijibu kuwa kwa meneo yote yenye kunasa H2.64 decoder hiyo inafanya kazi na...
Wadau kwa wazoefu wa kuagiza bidhaa ndogo ndogo kama simu nje....sijawaelewa hawa jamaa parcel yangu imeingia tangu tarehe 1/ 08 lakini hadi naandika unaonyesha umekwama custom, nimejaribu kufuatilia posta nao wanashangaa kuwa ni siku nyingi hizo, nimejaribu kuwapigia simu hata hawapokei. Kwa...
Amani iwe kwenu! Hivi karibuni nilifanya manunuzi ya simu kupitia AliExpress, account yangu ya mtandao husika inanieleza kuwa seller alituma mzigo hadi tar. 23 inaonyesha kuwa mzigo umekuja Tanzania. Hadi leo sijapata taarifa zozote kutoka posta juu ya mzigo huo. Je kutakuwa na hatua bado...
Huyu mwingine anayejiita mwajiri mkuu ameisha ota mapembe, na huku uraiani tukilalamika lawama kwetu eti sisi ndo tunawapa ushindi wa bure.
Kiukweli maumivu tunayopitia mungu ndo anajua, haki zetu zinakanywagwa miaka minne sasa na hapo tunaambiwa hapa kazi tu.....ieleweke kuwa hatuzungumzii...
JF doctors, kuna raia amekuwa akitokwa na vidonda kwenye kiwiko cha mkono ( mikono yote miwili) na sehemu za mikunjo miguunu ( sehemu ya nyuma). Alipokwenda hospital DK. alisena ni allergy na akapewa dawa ( Griseofluvin) na dawa nyingine ya kupaka ambayo ameisahau jina.
Lakini baada ya kutumia...
Habari wana-JF!
Tarehe 16 December 2018 nilileta uzi wenye kichwa " Nataka nifanye maamuzi ya kuachana na mke wangu"Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu - JamiiForums. Baada ya michango yenu hapa pamoja na tafakuri ya muda mrefu ya kwangu binafsi na baada ya kuwashirikisha...
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.
Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.
2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu...
Habari, naomba kwa wazoefu ni ukubwa kiasi gani kitahitajika kwa ujenzi wa banda la kuku wa mayai wa kisasa 500, pia ningependa kujua vitu muhimu vya kuzingatia wakati wa ujenzi wa banda hilo na mwisho aina nzuri ya kuku wa mayai!
Sent using Jamii Forums mobile app
Simu imefanyiwa reset baada ya hapo inashindwa kukamilisha hatua za awali....kwanza inanitaka niunganishe Wi-Fi na nikiunganisha inafika kwenye kipengele cha kusearch updates then inalete ujumbe tajwa na kurudi mwanzo. Nimejaribu hata kufanya factory mode na ku clear data bado tatizo ni lile...
Ukipitia masoko ya bidhaa mtandaoni hapa nchini hasa kupatana utakutana na matangazo ya bidhaa na vifaa vya umeme kutoka Zanzibar kwa bei ya chini sana ukilinganisha na huku bara.
Kutokana na bei zao kuwa chini wanavutia wahitaji kutaka kununua lakini changamoto kubwa ni maswala ya usalama...
Ukipitia masoko ya bidhaa mtandaoni hapa nchini hasa kupatana utakutana na matangazo ya bidhaa na vifaa vya umeme kutoka Zanzibar kwa bei ya chini sana ukilinganisha na huku bara.
Kutokana na bei zao kuwa chini wanavutia wahitaji kutaka kununua lakini changamoto kubwa ni maswala ya usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.