Nini maana ya H2.64 kwenye TV decoder?

Nini maana ya H2.64 kwenye TV decoder?

BABA LEA WATOTO

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
364
Reaction score
816
Kama kichwa kinavyojieleza, nimeona free to air tv decoder inayoshika channel hadi 400 bila kulipia kwa maelezo ya muuzaji Aliye express, nikataka kujua kama decoder hiyo inaweza kunasa hata maeneo ya nje ya mji, akanijibu kuwa kwa meneo yote yenye kunasa H2.64 decoder hiyo inafanya kazi na uwezo wa kufikisha channel 400 itategemea na nguvu ya signal husika. Je hiyo H2.64 nini maana yake? Je ni maeneo gani inashika ama ni yote kwa hapa Tanzania?
 
Kama kichwa kinavyojieleza, nimeona free to air tv decoder inayoshika channel hadi 400 bila kulipia kwa maelezo ya muuzaji Aliye express, nikataka kujua kama decoder hiyo inaweza kunasa hata maeneo ya nje ya mji, akanijibu kuwa kwa meneo yote yenye kunasa H2.64 decoder hiyo inafanya kazi na uwezo wa kufikisha channel 400 itategemea na nguvu ya signal husika. Je hiyo H2.64 nini maana yake? Je ni maeneo gani inashika ama ni yote kwa hapa Tanzania?
Analeta tu uswahili Hapo mkuu, Kama alivyosema mdau Hapo juu H.264 Ni codecs ya video, inaweza ikawa Ni movie ya mp4, ama tv, video ya harusi etc.

Kitakachokufanya wewe ushike Chanell nyingi Ni satellite ambayo muelekeo wa dishi utaelekea, uwezo wa dekoda kufungua Chanell, technology za hio decoder etc. Hio H.264 IPO kwenye decoder zote za kisasa Wala haitakusaidia kuddiferentiate hio decoder.

Kama unatafuta receiver/decoder nzuri itakayoshika maximum chanells tafuta yenye
-power vu na autoroll
-biss key
-Dvb S/T
-uwezo wa internet (iptv)

Hapo ndio utakomba chochote kitakachopita mbele yako, hasa ukiwa na dish kubwa la futi 6 ama 8.
 
Analeta tu uswahili Hapo mkuu, Kama alivyosema mdau Hapo juu H.264 Ni codecs ya video, inaweza ikawa Ni movie ya mp4, ama tv, video ya harusi etc.

Kitakachokufanya wewe ushike Chanell nyingi Ni satellite ambayo muelekeo wa dishi utaelekea, uwezo wa dekoda kufungua Chanell, technology za hio decoder etc. Hio H.264 IPO kwenye decoder zote za kisasa Wala haitakusaidia kuddiferentiate hio decoder.

Kama unatafuta receiver/decoder nzuri itakayoshika maximum chanells tafuta yenye
-power vu na autoroll
-biss key
-Dvb S/T
-uwezo wa internet (iptv)

Hapo ndio utakomba chochote kitakachopita mbele yako, hasa ukiwa na dish kubwa la futi 6 ama 8.
Asante mkuu ntafanyia kazi ushauri wako!
 
Back
Top Bottom