BABA LEA WATOTO
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 338
- 722
JF doctors, kuna raia amekuwa akitokwa na vidonda kwenye kiwiko cha mkono ( mikono yote miwili) na sehemu za mikunjo miguunu ( sehemu ya nyuma). Alipokwenda hospital DK. alisena ni allergy na akapewa dawa ( Griseofluvin) na dawa nyingine ya kupaka ambayo ameisahau jina.
Lakini baada ya kutumia hakuna mabadiliko yoyote na tatizo limezidi kuongezeka siku hadi Siku, kabla ya kwenda hospital nyingine ninaomba mawazo yenu je hili linaweza kuwa ni tatizo gani? Picha hiyo ndo tatizo lilivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini baada ya kutumia hakuna mabadiliko yoyote na tatizo limezidi kuongezeka siku hadi Siku, kabla ya kwenda hospital nyingine ninaomba mawazo yenu je hili linaweza kuwa ni tatizo gani? Picha hiyo ndo tatizo lilivyo!
Sent using Jamii Forums mobile app