Search results

  1. the_forum

    Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

    Killboy kijana wa Tabata ama!?
  2. the_forum

    Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

    Mkuu habari ya siku nyingi!? Skuizi umeachia front seat kwa vijana sio!?
  3. the_forum

    Kwa umahiri mkubwa wa Makomandoo wetu ilikuwaje wale wa Kesi ya Mbowe wakateswa na Jeshi la Polisi kama walivyodai?

    Wew ni mpumbavu wa akili na ufaham wako umelala fofofo. Walikamatwa na police , kua komando ni pamoja na kujua kutii mamlaka ya serikali. Ndio maana hawakuweka resistance ktk kukamatwa. Wew ushatoka kuangalia muvi zako za kutafsiriwa unaleta uzi wa kiboya. Unauliza maswali unajijibu
  4. the_forum

    Dereva gari limemzidi uwezo, Leseni ichunguzwe

    Fasihi ingekua ni rahisi hivi na ujinga namna hii. Sidhani kama watu wangetajirika kupitia fasihi.
  5. the_forum

    Kwa hili tumwogope Mungu, tuvue Unafiki. Tumwombe Msamaha Magufuli

    Tuachane na mask na Covid. Wewe Condom umetumia lini mara ya mwisho!? Je unahisi UKIMWI upo au haupo!?
  6. the_forum

    JamiiForums Usiku wa manane

    kama hivi
  7. the_forum

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  8. the_forum

    "Natamani kweli ila sina hela ya lodge baby" Hili jibu K sana yaani konki

    Yani unataka tuhangaikie hela ya lodge na unaona ni kheri tukope, alafu bado unataka tukae juu saa zima tukusubiri wewe ufike!?
  9. the_forum

    Utaratibu unaotaka mtumishi wa umma kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake, haukufanyiwa utafiti wa kutosha na utaratibu huu umepitwa na wakati

    Afu pia huezi tetea hii hoja kwa kusema eti watu hawategemei mshahara tu, sasa kwanini usitumie hyo financial source ingine kuombea mkopo!?
  10. the_forum

    Utaratibu unaotaka mtumishi wa umma kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake, haukufanyiwa utafiti wa kutosha na utaratibu huu umepitwa na wakati

    Hujaongea la maana, kama mshahara wako ni laki tatu lazima uishi maisha unayoweza kukidhi. Na ukikopa ni lazima uwe na mpango kazi wa kusurvive kwa 1/3 unayobaki nayo. Na hyo syo lazima ukatwe ibaki hyo. Mikopo ni hiari yako ila sasa serikali ndio ikasema hata kama ni hiari yako kukopa basi...
  11. the_forum

    Leo nimeaibika sana, roho inauma

    Duh msamiati mwingine tena mkuu
  12. the_forum

    Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

    Umewahi kuwakamata mkuu!?
  13. the_forum

    Mchumba wa Jux, Jackie Cliff katoka jela China yuko bongo

    Hawezi pewa adhabu na serikali kwa kutuchafua kimataifa. Labda miaka michache tena hv. Mana hawa watu ndio wanaleta ugumu wa VISA ktk haya mataifa yetu.
  14. the_forum

    Hivi kweli kumuona Nabii Mussa wa Kimara ni Tsh. 100,000/=?

    Mkuu sasa huyo ni kuhani nabii au mtume!? Mbona umempa vyeo vyote. Kama ni hivo apewe tu hela anastahili
  15. the_forum

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Ina graphic card gani mkuu!?
  16. the_forum

    Leo nimeaibika sana, roho inauma

    Mbususu ni nini mkuu!?
Back
Top Bottom