Wew ni mpumbavu wa akili na ufaham wako umelala fofofo. Walikamatwa na police , kua komando ni pamoja na kujua kutii mamlaka ya serikali. Ndio maana hawakuweka resistance ktk kukamatwa. Wew ushatoka kuangalia muvi zako za kutafsiriwa unaleta uzi wa kiboya. Unauliza maswali unajijibu
Hujaongea la maana, kama mshahara wako ni laki tatu lazima uishi maisha unayoweza kukidhi. Na ukikopa ni lazima uwe na mpango kazi wa kusurvive kwa 1/3 unayobaki nayo. Na hyo syo lazima ukatwe ibaki hyo. Mikopo ni hiari yako ila sasa serikali ndio ikasema hata kama ni hiari yako kukopa basi...
Hawezi pewa adhabu na serikali kwa kutuchafua kimataifa. Labda miaka michache tena hv. Mana hawa watu ndio wanaleta ugumu wa VISA ktk haya mataifa yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.