Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,370
Kwanza utakuta mnyama Jux yupo studio kwa ajili ya Kichupa special cha JackNa watamshangaa mbna.
Coz nyimbo zake zote huwa ni za matukio ya mademu zake
Kwanza utakuta mnyama Jux yupo studio kwa ajili ya Kichupa special cha JackNa watamshangaa mbna.
Wewe sawa na demu langu la zamani linasahau password kila likipata simu mpya linafungua account mpya ukilisachi fb lina ma account kibao
Kwa lugha ya sisi mashabiki wa mpira wa miguu, tunasema amekuwa juve aka kibibi cha tulin.Watu wanasema eti bado yuko mwaaa, nawacheka uyo batch ya kina wolper. Wolper ukiliona sasa hiv na mipengo yake alafu kuna kina paula unachoka.
Pambana na hali yako, Acha mtu aishi maisha yakeSina lingine,,,safisha komment zako maana zinanuka Nnya.
Mbona wanasiasa wenu wanaongoza kwa kuichafua nchi kwa kuiba pesa za wananchi na kwenda kuzificha huko huko kwa mabeberu, je wamewahi kupewa adhabu yoyote ?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Daah.Wewe sawa na demu langu la zamani linasahau password kila likipata simu mpya linafungua account mpya ukilisachi fb lina ma account kibao
Mtoto wali njegere.Kumbe wewe ni Nazi Nazi leo ndo nimejua.
Kabisa yaani Dada alijua kutingisha mnooSlay queen pekee aliyekuwa anavaa na akavalika.
Mwenye mashauzi yasiyochosha.
Ataji brand upya
Hataki kusahaulika mjini maana angeanza upya si mchezo!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
DuhHawezi pewa adhabu na serikali kwa kutuchafua kimataifa. Labda miaka michache tena hv. Mana hawa watu ndio wanaleta ugumu wa VISA ktk haya mataifa yetu.
Ni katibu muenezi wa chama, sio mjumbe tyuuhHuyu mbona wakongwe wa Jf tunamjua ni member wa kile chama cha upinde wa mvua
Oooh kumbe lolDhamani kabla hajapata matatizo hayo
Af sjajua km alitoka yule jamaa, mmmhHalafu na yeye akaenda jela!tena kwa kesi zilezile!
Hivi katoka Abdulatwif!!!?
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
lazima watu wam follow sana tyuuh.Amefungua account mpya mbona. Sema followers ndio kama wote ndani ya muda mfupi
Niletee maji nikutawaze,Sina lingine,,,safisha komment zako maana zinanuka Nnya.