Serikali imekaa kimya
CHADEMA nao kama chama wamekataa kutoa msimamo wao
Zitto na wanasiasa wachache wametoa misimamo yao binafsi lakini hakuna tamko linaloashiria kuwa ndio msimamo RASMI WA chadema ni upi juu ya hili suala
sasa inaonekana kuwa eidha CHADEMA na CCM lao moja au ile hoja ya...
Wakuu,
Naomba mwenye ufahamu anijulishe Marehemu Abeid Amani Karume (04/08/1920 - 07/05/1972) alikuwa ana msimamo gani juu ya Muungano wa Tanganyika? Kuna maandiko yake yoyote juu ya mawazo, filosofia na msimamo juu ya muungano huo toka kwake moja kwa moja ama toka kwa waandishi walio...
Huyu anafanya nini ndani ya CCM? Na kwa wanaompenda wanatete vipi hoja ya huyu kuwa ni CCM damu?
Kweli inawezekana mtu akawa ndani ya CCM na akawa msafi?
Tazama huyo jamaa wa JWTZ kabeba FOOTBALL kama wanayobeba jamaa wa Obama ambayo ina nuclear codes au ushamba wangu?
sasa kama ikitokea ishu na jamaa mkono uko bize na hicho kibegi nani atamsaidia rais?
watu wenye kujua mabo haya hebu nifahamisheni
Ya kwetu hii hapa:
ya kule kwa Obama hii...
Freddy Maro
Issa Michuzi
Directorate of Information
Nauliza kwa sababu picha akipiga Michuzi hatuoni jina lake lakini Freedy Maro tunaona jina linawekwa
sasa kwa nini hili suala haliwi simple tuu kuwa picha na KURUGENZI YA MAWASILIANO IKULU?
Zaidi tazama hapa:
IKULU BLOG | Kurugenzi ya...
http://youtu.be/qNLqQ2cN-PA
Sometimes I wish tungekuwa na fearless leaders like him.
He goes in on Hillary Clinton kuja Tanzania na aliyoyasema alipokuja
Hawa ni vijana wakiTanzania wajasiria mali walioko UK na shughuli zao kubwa ni kupiga video za matukio etc
Sasa takriban mwezi mmoja na uchee walipiga video pale kwenye mkutano wa diaspora na kutokana na taarifa zilizopo kuwa waliitwa na Tanzania Association UK pamoja na Ubalozi ambao walikuwa...
Natafuta patna kwenye biashara ya uvuvi
ninayo leseni ya kuniruhusu kuvua kwenye pwani ya Tanzania.
au kama kuna mtu anayo data base ya makampuni ya nje yenye nia na shughuli hii pevu ya kuvua basi mimi naatikana kwenye anuani hiii:
magomeni@gmail.com
lakini kwa faida ya wengine...
Inasemekana Manji ana jeshi la watu kama 70 hivi wote kazi yao ni moja tuu
kubid tenda zote za serikali ya TZ kwa kutumia shell companies
sasa nauliza mtu unainawezaje kuingia kwenye hiii game ya procurement za serikali kama manji?
of course unaweza kuingia kama supplier lakini what...
eti hii imekaaje?
Mange Kimambi vs Julius Mgaya aka KIM - Wazalendo Forums
inaonekana kule kwenye source mwenyewe aliifuta lakini wenzie walimzidi kete
I hope next time atakuwa makini zaidi. In the meantime hii eti mnaionaje au ndio mambo ya kuchafuana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.