Inasemekana Manji ana jeshi la watu kama 70 hivi wote kazi yao ni moja tuu
kubid tenda zote za serikali ya TZ kwa kutumia shell companies
sasa nauliza mtu unainawezaje kuingia kwenye hiii game ya procurement za serikali kama manji?
of course unaweza kuingia kama supplier lakini what about kama middle man kama anavyofanya huyu manji au itakuwa ngumu maana pesa za kuhonga huyu naamini hakosi
naomba ushauri tafadhali
kubid tenda zote za serikali ya TZ kwa kutumia shell companies
sasa nauliza mtu unainawezaje kuingia kwenye hiii game ya procurement za serikali kama manji?
of course unaweza kuingia kama supplier lakini what about kama middle man kama anavyofanya huyu manji au itakuwa ngumu maana pesa za kuhonga huyu naamini hakosi
naomba ushauri tafadhali