TUWAOMBEE WAO TUJIOMBEE NA SISI , KILA MTU ATOE MAOMBI YAKE HAPA, THANKS!
Italia wanaonesha hali ya kukataa tamaa wanaona kama wametengwa na dunia ,wanajiona wapweke ,wanona hawana msaada tena,na wanaamua kumwachia mungu aamue juu ya hatima yao.
Ndugu zangu watanzania tumwombee mungu kupitia...
Tumezoea kumuita chunusi ila kwa jina lingine anaitwa electric eel. Anafanana na kambale. Anatoa umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi vilt 850v.
Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.
Ni...
Wakuu nmekutana na huyu chura wa ajabu anayebadilika rangi kama kinyonga. Katika utafiti wangu wa muda mfupi akiwa na furaha anakuwa na rangi nyeupe pale anapokasirika anakuwa na rangi isiyoeleweka kama unavyoona kwenye picha. Najaribu kumfanyia uchunguzi zaidi wenda akawa chura pekee Duniani.
Habari wakuu nahitaji Kampuni ya kukodisha gari. Nina wageni wangu kutoka ulaya watakuja mwezi wa 11 watahitaji kukodisha gari kwa siku 5. Mambo mengine tutaongea nicheki nbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga mama huu unaitwa kwa WANAUME wa MKOANI [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nani kawadanganya kuvaa irizi ndo kujilinda[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuendelee au VITA Imeisha eti Barnaba Midfield Mtibuaji
Viazi lishe ni aina ya viazi vitamu vyenye very high carotene na fibres with Vitamin A
Vinasaidia mtoto kutokudumaa . pia huongeza uwezo wa nguvu za kiume yaani more fire kurudisha heshima nyumbani.
Unaweza pika vyakula vya aina mbalimbali
Unaweza chemsha pika mikate chapati kutengeneza juice...
Mwanzilishi wa kampuni ya bia ya Heineken Bwana Alfred Heineken alitengeneza chupa ya bia yenye umbo la tofali, ili watu kutoka mataifa masikini watakaokunywa bia zake waweze kutumia chupa hizo kama matofali ya kujengea nyumba. Picha ya Mwaka 1963
Kwa mujibu wa sheria za Uingereza zilizopitishwa tangu karne ya 12 Bata maji (mute swan) wote waliopo nchini humo ni mali ya Malkia wa Uingereza. Sheria hiyo ilipitishwa ili kuwazuia wananchi wa kawaida wasile bata maji kwasababu ni chakula kinachopendwa zaidi na familia ya kifalme ya Uingereza.
Wakuu naomba kujua kuhusu hii biashara mana nmepitia nyuzi mbalimbali humu cjaambulia kitu wala kujua ukweli halisi wa hii kitu. Moderator kama itawapendeza msiuuanganishe uzi wangu ili nipate ukweli halisi. Maswali yangu ni
1. Je! Hii ni biashara halali au magumashi?
2. Biashara hii network...
Kweli maisha nikuheshimiana wala maisha hayataki kudharauliana...Ona hii picha ya Mike Tayso na Donald Trump iliyopigwa mwaka 1988 wkt huo Mike Iron Tayson alikua amemuajiri Donal Trump kama msaidizi wake binafsi kwenye maswala ya fedha lkn Leo Trump sio mtumishi wa Tyson tena bali Don Trump...
Duuh ! Madaktari hii inawezekanaje medically au ni miujiza ya Mungu !!
.
Pichani mwanadada huyo wa Nigeria baada ya kukaa miaka 12 kwenye ndoa bila kupata mtoto. Mwaka huu mwezi March aliweza kujifungua watoto wawili mapacha wa kike na kiume. Kilichowashangaza watu ni kuwa miezi mitatu baada ya...
Habari wakuu natafuta soko la uhakika wa viazi vitamu (viazi lishe)
Nina ekari tano maeneo ya morogoro Kilosa kijiji cha msowero.
Tuwasiliane inbox kwa maelezo zaidi.
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council.
Wenye idea ya hapo nataka kusoma English course, kuongea. Kuandia kiingereza naweza kukuandikia kitabu kizima insu kuongea .
1. Taratibu zikoje?
2. Ada yake imekaaje?
3. Muda wa kusoma nk
Nauza iPhone 7plus 128GB mpya cjaitumia toka imeletwa full equipment bei 780000 tu kama unahitaji njoo Dm
Au tuwasiliane hapa hapa kwanza tukikubaliana tutaona namna ya kufikiana
Location : Moro Town
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.