BigBaba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,909
- 9,038
Tumezoea kumuita chunusi ila kwa jina lingine anaitwa electric eel. Anafanana na kambale. Anatoa umeme aina ya umeme tuli (static electricity) hadi vilt 850v.
Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.
Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.
La Voice muafrica wa kwanza kugundua kuwa chunusi sio jini bali ni electric eel.
Share wapate habari marafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.
Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.
La Voice muafrica wa kwanza kugundua kuwa chunusi sio jini bali ni electric eel.
Share wapate habari marafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app