Search results

  1. S

    Mgodi wa Gukona umekuwa ni msiba kwa wakazi wanaozunguka mgodi huo

    Mnamo tarehe 17 Desemba 2023 Majira ya saa 10 jioni Kijana Ryoba Kisire Kisire alipigwa Risasi na Polisi wanalinda eneo la mgodi huo na Kufariki wakati akipatiwa matibabu hospital ya Nyamwaga Halmashauri ya Tarime Vijijini. Mazishi yanafanyika leo tarehe 18 Desemba Kitongoji cha Ntarechagini...
  2. S

    MSAADA WA KURUDISHA FILE ZILIZOPOTEA WAKATI WA KUPIGA WINDOW KWENYE PC

    Wanajukwaa salaam! Naomba msaada na muongozo wa namna ya kurudisha file zimepotea wakati napiga window nilisahau zilikuwa kwenye Desktop nikasahau ku copy kwenye Disk hasa Ni vitu vya muhimu Sana naomba msaada wenu wanajukwaa. Nafahamu hapa huwa hakishindikani kitu.
  3. S

    Polisi Masasi, ni wakati wa kuwaonesha maovu yenu

    Wanajukwaa Salaam! Naomba niwaeleze snario iliyopo Polisi Wilaya ya Masasi Mkoa wa MTWARA. Iko Hivi, tarehe 27 oct 2021 kulitokea tukio la kukamatana masuala ya ugoni. Bwana J ndiye Mwenye Mke ambaye baada ya kumuona mkewe amebadilika kitabia na mienendo yake mibaya aliamua kumfuatilia kwa...
  4. S

    Coronavirus: Tanzania’s handling of pandemic raises eyebrows

    Coronavirus: Tanzania’s handling of pandemic raises eyebrows By Morris Kiruga Posted on Tuesday, 12 May 2020 12:25 With just months to go to the end of his first term, Tanzania's president John P. Magufuli is making global headlines once again, as his administration continues its somewhat...
  5. S

    Kama kutumika basi wanaomshauri ndio wanatumika na hao mabeberu

    Haya mambo ni sayansi. Alichokiongea Mh. Rais jana inaonyesha wazi hajui sayansi ya magonjwa na diagnostic tests au anajaribu ku undermine the magnitude of the virus and put the front liners down. Nitajaribu kuchambua hiki kisanga cha mapapai, mafenesi, kwale na oil zilizo fanyiwa tests na team...
  6. S

    Rais Magufuli amedanganywa kuhusu kupima papai, fenesi, mbuzi nk

    , FENESI, MBUZI N.K IMEANDIKWA NA DR. LIBERATUS MWANG'OMNE MTAALAM WA MFUMO WA UPUMUAJI. Haya mambo ni sayansi. Alichokiongea Mh. Rais jana inaonyesha wazi hajui sayansi ya magonjwa na diagnostic tests au anajaribu ku undermine the magnitude of the virus and put the front liners down...
  7. S

    Ziara ya Rais Magufuli Ruangwa na sanaa za viongozi

    #Hivi mnamdanganya nani? Kama siyo kuwaonea wananchi! Rais Magufuli leo Jumatatu 14/10 atafanya ziara wilayani Ruangwa. Ajabu ni kwamba wananchi wa vijiji vya wilaya hiyo wameamrishwa jana asubuhi 13/10 wakafagie barabara na kupewa maelekezo kwamba, akifika Magufuli wakiulizwa habari za...
  8. S

    Tetesi: Inadaiwa CCM inatumia bilioni 12.8 katika mipango mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni ujasusi wa kusini na kanda ya kati

    ###BREAKNEWS:CCM SIRI IMEFICHUKA. TAARIFA ZA KIINTELIJENSIA NA MIPANGO MIOVU NDANI YA CCM CCM inatumia bilioni 12.8 katika MIPANGO mkakati katika vikundi vitatu ambavyo ni UJASUSI WA KUSINI NA KANDA YA KATI 2:UJASUSI KASKAZINI NA CCM NI NGUVU YA DOLA. UJASUSI KUSINI NA KANDA YA KATI Hili ni...
  9. S

    Dr. Slaa na rangi mbili

    Sijui nimjibu Dr. Slaa? Mwaka 2011 nikiwa mwanafunzi wa kidato cha sita huko Ihungo boy's high school nikichukua masomo ya HGE niliwahi kuwa kiongozi wa ngazi ya jimbo wa umoja wa wanafunzi wakatoliki yani ( Tanzania Young Catholic Students TYCS) Nafasi yangu hii ilinifanya niwe karibu na baba...
  10. S

    Malalamiko ya wanafunzi wa COTC Lindi kwa Wizara

    Ni ukweli usiopingika Kama malalamiko ya nmana hi hayakupatiwa ufumbuzi na leo NACTE wanakuja kuwatetea walimu wa chuo hii si sawa. Lakini yote haya yanafanywa na watu wafuatao Wizarani:- 1. DR. NDIMIRA Mratibu wa Mafunzo wizarani. 2. DR.SAITORE Mkurugenzi wa Mafunzo Wizarani 3. DR.FADHILI...
  11. S

    CCM na mpango ovu dhidi ya CHADEMA kwenye uchaguzi Serikali za Mitaa

    CHUKUA HII TOKA CCM. Hakuna sheria inataja hitaji hili kwa mgombea any way wanasheria wapo hapa watanisaidia. Lakini maccm wapenga kufanya haya dhidi ya CHADEMA. Mikakati hovu toka ccm dhidi ya chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa. 1. Vyeti vya kuzaliwa vya wagombea. Sisi wamepanga...
  12. S

    DC Rorya awasweka walimu mahabusu wiki moja bila dhamana

    Walimu wawili wa Shule ya Sekondari Musa Akasha iliyoko wilayani Rorya Mkoa wa Mara wamesota mahabusu kwa wiki moja bila dhamana kwa amri ya Mkuu wa Wilaya kwa kosa la kuadhibu mwanafunzi ambaye alifika shukeni akiwa amevalia viatu vya plastiki ambavyo si sare ya shule. Walimu hao walikamatwa...
  13. S

    NECTE waficha matatizo ya COTC's

    Wanajukwaa Salaam kwenu. Kama mnakumbuka juzi niliweka thread iliyokuwa na kichwa "Clinical Officer Training Collage" Wanaficha vyeti na kukaziwa na kufafanuliwa zaidi na NavoJ.Sued ilieleza kwa marefu Sana. Baada ya maandiko Yale NACTE wametuma wawakilishi wao mmoja wao anaitwa Mr. BANGI...
  14. S

    Jua haki yako mtanzania mwenzangu

    ZIJUE TARATIBU ZA UPEKUZI (SEARCH) KISHERIA ZITAKAZO FANYWA NA POLICE DHIDI YAKO. Na. Comred Mbwana Allyamtu. Thursday -28/6/2018. +255679555526. Leo tutaendelea katika mfululizo wa utoaji wa elimu ya sheria katika nyanja ambazo ni changamoto katika jamii yetu hivyo kwa msingi huu leo...
  15. S

    Clinical Officers Training College (COTC) Lindi inaficha vyeti vya wahitimu

    Wanajukwaa Salaam kwenu. Juzi nilikutana na Vijana wanne wanaosoma Clinical Officers Training College - Lindi (COTC). Pamoja na story zingine lakini pia nilivutiwa na hasa story kadhaa Zifuatazo:- 1. Mwanafunzi kusoma kwa miaka 7 kwa kukamatwa kwenye somo moja linalofundishwa na Dr. Mmoja...
  16. S

    CHADEMA/UKAWA: Uwekezaji usiotabirika

    Haya ndo muhimu kujadili
  17. S

    Je, huu ndo mwanzo wa vita ya tatu ya dunia?

    US & ALLIES LAUNCH MILITARY STRIKES ON MULTIPLE SYRIAN REGIME TARGETS The United States, Britain and France launched strikes against the Syrian regime in response to an alleged chemical weapons attack after mulling military action for nearly a week. Loud explosions ripped through Syria's...
  18. S

    Ansbert Ngurumo: Taifa linaelekea pabaya sana

    Anaandika Ansbert Ngurumo Very important Tip: CCM na polisi jana usiku kuanzia saa 2:37 walijifungia katika ukumbi wa BoT Mwanza kupanga wizi wa kura. 1. Kikao kilianza saa 2:37 2. Washiriki walikuwa 36. 3. Kiliongozwa na John Mongela, mkuu wa mkoa. 4. Miongoni mwa washiriki ni hawa...
  19. S

    HILA na HUJUMA UCHAGUZI KINONDONI NA SIHA

    *HILA ZILIZOPANGWA UCHAGUZI 17/2/2018 (JUMAMOSI):KINONDONI, SIHA na KATA MBALIMBALI* Makamanda wenzangu na watanzania wote wapenda mabadiliko. Naandika andiko hili nikitambua kuna kampeni zinaendelea katika maeneo mbalimbali nchini. Kampeni hizi zimeudhirishia umma kwamba CCM , Magufuli na...
  20. S

    Hujuma na hila uchaguzi mdogo Kinondoni na Siha, 17/02/2018

    HILA ZILIZOPANGWA UCHAGUZI 17/2/2018 (JUMAMOSI):KINONDONI, SIHA na KATA MBALIMBALI Makamanda wenzangu na watanzania wote wapenda mabadiliko. Naandika andiko hili nikitambua kuna kampeni zinaendelea katika maeneo mbalimbali nchini. Kampeni hizi zimeudhirishia umma kwamba CCM , Magufuli na...
Back
Top Bottom