Clinical Officers Training College (COTC) Lindi inaficha vyeti vya wahitimu

Sesimba

Senior Member
Dec 20, 2016
189
382
Wanajukwaa Salaam kwenu.

Juzi nilikutana na Vijana wanne wanaosoma Clinical Officers Training College - Lindi (COTC). Pamoja na story zingine lakini pia nilivutiwa na hasa story kadhaa Zifuatazo:-

1. Mwanafunzi kusoma kwa miaka 7 kwa kukamatwa kwenye somo moja linalofundishwa na Dr. Mmoja sababu ya chuki. Kwa kawaida chuo kile huwa kina Train officers kwa level ya Diploma kwa Miaka 3.

2. NACTE kutoa cheti kwa mwanafunzi lakini Bado yupo darasani na wiki hii amefanya mtihani wake.

3. Wanafunzi wa mwaka wa tatu kuzuiwa kufanya mtihani wao wa mwisho na wanafunzi kukosa namba za NACTE bila kujua tatizo
------------------------------
Clinical Officers Training Collage (COTC) Lindi na Uongozi wake.

MKUU WA CHUO - Dr. KATISA.
MLEZI WA CHUO - Dr. AFRED MAGANI.
ACADEMICS - Dr. MBEZI


Iko hivi:;

Chuo Cha COTC Lindi
Kwa sasa chuo hicho cha COTC Lindi wanafunzi wako kwenye mitihani yao ya mwisho kwa ajili ya kumaliza course zao za mwaka wa tatu na kusubiria matokeo yao na kupatiwa vyeti vyao maisha yaendelee.

Kwa kawaida kwenye hizi collage huwa namba za mitihani zinatoka NACTE, baada ya kuhakiki vyeti vya O-level wanavyo submit wakati wa kujoin chuoni. Utaratibu huu huwa Ni kuazia mwaka wa Kwanza. Sasa wanafunzi zaidi ya 80 wamekosa namba za kufanyiwa mtihani huo kutoka NACTE huku wachache wakipata namba zao tena wa course moja.

kimsingi wanachuo walipewa namba usiku wa kuamkia siku ya kuaza mitihani yao ya mwisho. Hivyo wachache ndo waliopata na wengine kukosa namba. ilipofika siku husika wengi waliaza kuranda nje ya chumba Cha mtihani. Ambapo wasimamizi walipouliza waliambiwa kwamba hawajapata namba.

Wanafunzi waliamua kuuliza kwa Dr. Alfred Magani ambaye ndiye Mlezi wa chuo. Aluwajibu hawatafanya mtihani Hadi mwezi February mwakani sababu hawajamaliza ada ya shule pamoja malipo mengine. Na Kuna wengine hawapewa namba kwa kuwa usajili wao haujakamilika? Wanafunzi waliamua kumfuata mkuu wa chuo Dr. Katisa ambaye baada ya kuona kunataka kutokea shida aliamuru kwamba wapewe nafasi ya kufanya mitihani yao kwa namba walizofanyia mwaka wa pili wa masomo yao.

Kuna mwanafunzi aliwahi kuhoji na kutaka kuoneshwa matokeo yaliyotoka NACTE maana alikuwa anaona si kweli somo hilo kukamatwa Kila wakati akanyimwa. Na ndo hapo ilipoaza chuki baina yake na huyo Dr. Afred Alitamka na atamkomesha.

Kweli ikawa hivyo Kila mwaka lazima afanye somo hilo Kama sup, na hata sasa kwenye mitihani ya mwaka wa tatu amelazimika kufanya kipolo Cha mtihani wake wa nyuma ila mitihani yake ya mwaka wa tatu maana yake atafanya mwezi wa sita mwakani 2020!

Sasa wakati anaendelea kusoma Kuna siku aliingia oficn akaona cheti chake na vyeti vya wanafunzi wenzie wanne ambao miongoni mwao walishaacha chuo kwa kukosa ada baada ya kuambiwa wanapaswa kurudia mwaka na kulazimika kulipia ada na hawakuwa nazo hivyo wakaondoka.

Na alipoona alimfuata mlezi wa chuo na kumueleza kwamba ameona cheti chake Cha kuhitimu chuo lakini hajawahi ambiwa na anahitaji cheti chake. Dr. Alfred hakukataa ila alidai kwamba hatapewa cheti lakini lazima alipie Tsh 380,000/= ndo apewe. Alipouliza deni la kitu gani ikiwa alishalipa mwaka ule alioofanya mitihani ilifanya NACTE kutoa cheti hicho? Aliambiwa Kama hataki aendelee kusoma. Maana yake huyo kijana Hadi mwaka huu anatimiza Miaka 7 masomoni kwa hoja za kukamatwa kwenye mitihani.

Aliamua kumfuata mkuu wa chuo na kumueleza haya lakini Cha ajabu naye mkuu wa chuo alimueleza kwamba Kama cheti kimetoka Basi NACTE walikosea kukitoa cheti hicho. Hivyo hapaswi kupatiwa. Lakini kwa Mlenzi wa chuo anachotaka Ni laki tatu na themanini apatiwe cheti chake.

Story Ni ndefu Sana Ina kadhia nyingi na Ina rushwa za ngono na fedha kwa baadhi ya Dr. Wanaofundisha kwenye hicho chuo. Ila mie naomba kujua Mambo machache ambayo ninajiuliza!

1. Hivi kweli NACTE wanaweza kutoa cheti Cha ku satisfy elimu ya mtu bila uhalali?
2. Kama kweli NACTE walitoa cheti Je mitihani aliyofanya Miaka miwili wamesahihishaje? Hawakujua na hawana kukmbukumbu ya kijana huyu kwamba alishamaliza elimu yake na kupatiwa cheti?
3. Kama wanafunzi zaidi ya 80 wamefanya mitihani yao kwa namba zao walizotumia mwaka wa pili wakati huo wengine Wana namba mpya, Je watapata matokeo yao kweli? Je namba zao hizo zilizokwisha tumika zinatambulika tena NACTE kwa mitihani hii ya mwaka wa 3?
-------------------------
Humu ndani Ni jukwaa la the great thinkers naamini mtashauri au mtasaidia njia ya kuwasaidia wanafunzi Hawa.

Kuna wengine walikwenda Hadi wizarani walikutana na Dr. Ndimila Wambura kulalamikia madhira hayo wanayofanyiwa chuoni. Majibu waliyopewa hayakuridhisha:-

Waliajibiwa hivi "Mnachezea nauli za kuja hapa, mnatakiwa Mkae hata Miaka 10 kwani chuo si mlikwenda kwa miguu yenu?"

Wanajamvi wenzangu naomba kuwasilisha!!!!
 
Yaani Hadi Leo hata hawajui hatima yao maana yake wakija mwezi Feb watafanya mtihani na Kama watakuwa wamekamatwa kwa masomo kadhaa watapaswa ku clear tayari mwaka utaisha mwingine
 
How come vyeti vije huku wanafunzi wana supp.Nadhan hao walimu wanawafanyia kusudi huku mtandaoni matokeo yao yashakuwa uploaded.
Hebu jaribuni kuomba transcript nacte muone kama mtapewa.mkipewa basi mjue walimu wenu wanawahujumu.
 
Kama una uhakika na matokeo yako ulifaulu ila kutokana na chuki au sababu ya mtu binafsi akakukosesha;Andika barua kwenda kwa mkuu wa chuo,kopi (cc) peleka takukuru...kama majibu hayatakuridhisha,andika barua kwenda wizarani kwa ajili ya utekelezaji.
 
Wanajukwaa Salaam kwenu.

Juzi nilikutana na Vijana wanne wanaosoma Clinical Officers Training College - Lindi (COTC). Pamoja na story zingine lakini pia nilivutiwa na hasa story kadhaa Zifuatazo:-

1. Mwanafunzi kusoma kwa miaka 7 kwa kukamatwa kwenye somo moja linalofundishwa na Dr. Mmoja sababu ya chuki. Kwa kawaida chuo kile huwa kina Train officers kwa level ya Diploma kwa Miaka 3.

2. NACTE kutoa cheti kwa mwanafunzi lakini Bado yupo darasani na wiki hii amefanya mtihani wake.

3. Wanafunzi wa mwaka wa tatu kuzuiwa kufanya mtihani wao wa mwisho na wanafunzi kukosa namba za NACTE bila kujua tatizo
------------------------------
Clinical Officers Training Collage (COTC) Lindi na Uongozi wake.

MKUU WA CHUO - Dr. KATISA.
MLEZI WA CHUO - Dr. AFRED MAGANI.
ACADEMICS - Dr. MBEZI


Iko hivi:;

Chuo Cha COTC Lindi
Kwa sasa chuo hicho cha COTC Lindi wanafunzi wako kwenye mitihani yao ya mwisho kwa ajili ya kumaliza course zao za mwaka wa tatu na kusubiria matokeo yao na kupatiwa vyeti vyao maisha yaendelee.

Kwa kawaida kwenye hizi collage huwa namba za mitihani zinatoka NACTE, baada ya kuhakiki vyeti vya O-level wanavyo submit wakati wa kujoin chuoni. Utaratibu huu huwa Ni kuazia mwaka wa Kwanza. Sasa wanafunzi zaidi ya 80 wamekosa namba za kufanyiwa mtihani huo kutoka NACTE huku wachache wakipata namba zao tena wa course moja.

kimsingi wanachuo walipewa namba usiku wa kuamkia siku ya kuaza mitihani yao ya mwisho. Hivyo wachache ndo waliopata na wengine kukosa namba. ilipofika siku husika wengi waliaza kuranda nje ya chumba Cha mtihani. Ambapo wasimamizi walipouliza waliambiwa kwamba hawajapata namba.

Wanafunzi waliamua kuuliza kwa Dr. Alfred Magani ambaye ndiye Mlezi wa chuo. Aluwajibu hawatafanya mtihani Hadi mwezi February mwakani sababu hawajamaliza ada ya shule pamoja malipo mengine. Na Kuna wengine hawapewa namba kwa kuwa usajili wao haujakamilika? Wanafunzi waliamua kumfuata mkuu wa chuo Dr. Katisa ambaye baada ya kuona kunataka kutokea shida aliamuru kwamba wapewe nafasi ya kufanya mitihani yao kwa namba walizofanyia mwaka wa pili wa masomo yao.

Kuna mwanafunzi aliwahi kuhoji na kutaka kuoneshwa matokeo yaliyotoka NACTE maana alikuwa anaona si kweli somo hilo kukamatwa Kila wakati akanyimwa. Na ndo hapo ilipoaza chuki baina yake na huyo Dr. Afred Alitamka na atamkomesha.

Kweli ikawa hivyo Kila mwaka lazima afanye somo hilo Kama sup, na hata sasa kwenye mitihani ya mwaka wa tatu amelazimika kufanya kipolo Cha mtihani wake wa nyuma ila mitihani yake ya mwaka wa tatu maana yake atafanya mwezi wa sita mwakani 2020!

Sasa wakati anaendelea kusoma Kuna siku aliingia oficn akaona cheti chake na vyeti vya wanafunzi wenzie wanne ambao miongoni mwao walishaacha chuo kwa kukosa ada baada ya kuambiwa wanapaswa kurudia mwaka na kulazimika kulipia ada na hawakuwa nazo hivyo wakaondoka.

Na alipoona alimfuata mlezi wa chuo na kumueleza kwamba ameona cheti chake Cha kuhitimu chuo lakini hajawahi ambiwa na anahitaji cheti chake. Dr. Alfred hakukataa ila alidai kwamba hatapewa cheti lakini lazima alipie Tsh 380,000/= ndo apewe. Alipouliza deni la kitu gani ikiwa alishalipa mwaka ule alioofanya mitihani ilifanya NACTE kutoa cheti hicho? Aliambiwa Kama hataki aendelee kusoma. Maana yake huyo kijana Hadi mwaka huu anatimiza Miaka 7 masomoni kwa hoja za kukamatwa kwenye mitihani.

Aliamua kumfuata mkuu wa chuo na kumueleza haya lakini Cha ajabu naye mkuu wa chuo alimueleza kwamba Kama cheti kimetoka Basi NACTE walikosea kukitoa cheti hicho. Hivyo hapaswi kupatiwa. Lakini kwa Mlenzi wa chuo anachotaka Ni laki tatu na themanini apatiwe cheti chake.

Story Ni ndefu Sana Ina kadhia nyingi na Ina rushwa za ngono na fedha kwa baadhi ya Dr. Wanaofundisha kwenye hicho chuo. Ila mie naomba kujua Mambo machache ambayo ninajiuliza!

1. Hivi kweli NACTE wanaweza kutoa cheti Cha ku satisfy elimu ya mtu bila uhalali?
2. Kama kweli NACTE walitoa cheti Je mitihani aliyofanya Miaka miwili wamesahihishaje? Hawakujua na hawana kukmbukumbu ya kijana huyu kwamba alishamaliza elimu yake na kupatiwa cheti?
3. Kama wanafunzi zaidi ya 80 wamefanya mitihani yao kwa namba zao walizotumia mwaka wa pili wakati huo wengine Wana namba mpya, Je watapata matokeo yao kweli? Je namba zao hizo zilizokwisha tumika zinatambulika tena NACTE kwa mitihani hii ya mwaka wa 3?
-------------------------
Humu ndani Ni jukwaa la the great thinkers naamini mtashauri au mtasaidia njia ya kuwasaidia wanafunzi Hawa.

Kuna wengine walikwenda Hadi wizarani walikutana na Dr. Ndimila Wambura kulalamikia madhira hayo wanayofanyiwa chuoni. Majibu waliyopewa hayakuridhisha:-

Waliajibiwa hivi "Mnachezea nauli za kuja hapa, mnatakiwa Mkae hata Miaka 10 kwani chuo si mlikwenda kwa miguu yenu?"

Wanajamvi wenzangu naomba kuwasilisha!!!!
Na Mtwara pia kuna hili tatizo mdogo wangu aliambiwa hakuna cheti umedisco ikabidi aende NACTE wakamwambia cheti kiko chuo. Akaendelea kufatilia kumbe ni mwalimu kala njema digo alimkataaga.namshukuru Mungu wameona aibu sasa wametoa.cheti kimekaa zaidi ya mwaka
 
Kama una uhakika na matokeo yako ulifaulu ila kutokana na chuki au sababu ya mtu binafsi akakukosesha;Andika barua kwenda kwa mkuu wa chuo,kopi (cc) peleka takukuru...kama majibu hayatakuridhisha,andika barua kwenda wizarani kwa ajili ya utekelezaji.
Hii nzuri
 
Na Mtwara pia kuna hili tatizo mdogo wangu aliambiwa hakuna cheti umedisco ikabidi aende NACTE wakamwambia cheti kiko chuo. Akaendelea kufatilia kumbe ni mwalimu kala njema digo alimkataaga.namshukuru Mungu wameona aibu sasa wametoa.cheti kimekaa zaidi ya mwaka
Naona kumbe Kuna Jambo hili naona Kuna haja ya kuwa na ufuatiliaji wa karibu ili kuondoa ujinga huu
 
Mambo ya kufanya.
*Kuhusu cheti aende ofisi za Nacte za kanda aliko watamsikiliza na kuona status yake kama ni kamaliza au kuna kitu bado hajamamilisha.

*Kuhusu rushwa, aandike barua Takukuru, nakala kwa mkuu wa wilaya na mkuu wa chuo. Au apige simu.

kusoma miaka 7 nako ni ujinga, huyo mwanafunzi kashindwa kujiongeza kutatua changamoto inayomkabili anakalia kupoteza muda chuoni.
 
Bado wana nafasi ya kumuona Naibu Mkurugenzi wa Mafunzo Dr. Fadhili au Mkurugenzi wa Mafunzo Wizara ya Afya Dr. Saitory, ni waelewa sana na lipo ndani ya uwezo wao kulitatua....
Naona kumbe Kuna Jambo hili naona Kuna haja ya kuwa na ufuatiliaji wa karibu ili kuondoa ujinga huu
 
Suelewi mleta mada matokeo Nacte huwa wanaweka online kuwa wanafunzi hamuyaoni au?
 
Wamuone Dr. Fadhili ambae ni Naibu Mkurugenzi wa Mafunzo, au Mkurugenzi mwenyewe Dr. Saitory, jambo lao litatatuliwa vizuri tu....njoo inbox nikupe namba zao...ahsante
Wanajukwaa Salaam kwenu.

Juzi nilikutana na Vijana wanne wanaosoma Clinical Officers Training College - Lindi (COTC). Pamoja na story zingine lakini pia nilivutiwa na hasa story kadhaa Zifuatazo:-

1. Mwanafunzi kusoma kwa miaka 7 kwa kukamatwa kwenye somo moja linalofundishwa na Dr. Mmoja sababu ya chuki. Kwa kawaida chuo kile huwa kina Train officers kwa level ya Diploma kwa Miaka 3.

2. NACTE kutoa cheti kwa mwanafunzi lakini Bado yupo darasani na wiki hii amefanya mtihani wake.

3. Wanafunzi wa mwaka wa tatu kuzuiwa kufanya mtihani wao wa mwisho na wanafunzi kukosa namba za NACTE bila kujua tatizo
------------------------------
Clinical Officers Training Collage (COTC) Lindi na Uongozi wake.

MKUU WA CHUO - Dr. KATISA.
MLEZI WA CHUO - Dr. AFRED MAGANI.
ACADEMICS - Dr. MBEZI


Iko hivi:;

Chuo Cha COTC Lindi
Kwa sasa chuo hicho cha COTC Lindi wanafunzi wako kwenye mitihani yao ya mwisho kwa ajili ya kumaliza course zao za mwaka wa tatu na kusubiria matokeo yao na kupatiwa vyeti vyao maisha yaendelee.

Kwa kawaida kwenye hizi collage huwa namba za mitihani zinatoka NACTE, baada ya kuhakiki vyeti vya O-level wanavyo submit wakati wa kujoin chuoni. Utaratibu huu huwa Ni kuazia mwaka wa Kwanza. Sasa wanafunzi zaidi ya 80 wamekosa namba za kufanyiwa mtihani huo kutoka NACTE huku wachache wakipata namba zao tena wa course moja.

kimsingi wanachuo walipewa namba usiku wa kuamkia siku ya kuaza mitihani yao ya mwisho. Hivyo wachache ndo waliopata na wengine kukosa namba. ilipofika siku husika wengi waliaza kuranda nje ya chumba Cha mtihani. Ambapo wasimamizi walipouliza waliambiwa kwamba hawajapata namba.

Wanafunzi waliamua kuuliza kwa Dr. Alfred Magani ambaye ndiye Mlezi wa chuo. Aluwajibu hawatafanya mtihani Hadi mwezi February mwakani sababu hawajamaliza ada ya shule pamoja malipo mengine. Na Kuna wengine hawapewa namba kwa kuwa usajili wao haujakamilika? Wanafunzi waliamua kumfuata mkuu wa chuo Dr. Katisa ambaye baada ya kuona kunataka kutokea shida aliamuru kwamba wapewe nafasi ya kufanya mitihani yao kwa namba walizofanyia mwaka wa pili wa masomo yao.

Kuna mwanafunzi aliwahi kuhoji na kutaka kuoneshwa matokeo yaliyotoka NACTE maana alikuwa anaona si kweli somo hilo kukamatwa Kila wakati akanyimwa. Na ndo hapo ilipoaza chuki baina yake na huyo Dr. Afred Alitamka na atamkomesha.

Kweli ikawa hivyo Kila mwaka lazima afanye somo hilo Kama sup, na hata sasa kwenye mitihani ya mwaka wa tatu amelazimika kufanya kipolo Cha mtihani wake wa nyuma ila mitihani yake ya mwaka wa tatu maana yake atafanya mwezi wa sita mwakani 2020!

Sasa wakati anaendelea kusoma Kuna siku aliingia oficn akaona cheti chake na vyeti vya wanafunzi wenzie wanne ambao miongoni mwao walishaacha chuo kwa kukosa ada baada ya kuambiwa wanapaswa kurudia mwaka na kulazimika kulipia ada na hawakuwa nazo hivyo wakaondoka.

Na alipoona alimfuata mlezi wa chuo na kumueleza kwamba ameona cheti chake Cha kuhitimu chuo lakini hajawahi ambiwa na anahitaji cheti chake. Dr. Alfred hakukataa ila alidai kwamba hatapewa cheti lakini lazima alipie Tsh 380,000/= ndo apewe. Alipouliza deni la kitu gani ikiwa alishalipa mwaka ule alioofanya mitihani ilifanya NACTE kutoa cheti hicho? Aliambiwa Kama hataki aendelee kusoma. Maana yake huyo kijana Hadi mwaka huu anatimiza Miaka 7 masomoni kwa hoja za kukamatwa kwenye mitihani.

Aliamua kumfuata mkuu wa chuo na kumueleza haya lakini Cha ajabu naye mkuu wa chuo alimueleza kwamba Kama cheti kimetoka Basi NACTE walikosea kukitoa cheti hicho. Hivyo hapaswi kupatiwa. Lakini kwa Mlenzi wa chuo anachotaka Ni laki tatu na themanini apatiwe cheti chake.

Story Ni ndefu Sana Ina kadhia nyingi na Ina rushwa za ngono na fedha kwa baadhi ya Dr. Wanaofundisha kwenye hicho chuo. Ila mie naomba kujua Mambo machache ambayo ninajiuliza!

1. Hivi kweli NACTE wanaweza kutoa cheti Cha ku satisfy elimu ya mtu bila uhalali?
2. Kama kweli NACTE walitoa cheti Je mitihani aliyofanya Miaka miwili wamesahihishaje? Hawakujua na hawana kukmbukumbu ya kijana huyu kwamba alishamaliza elimu yake na kupatiwa cheti?
3. Kama wanafunzi zaidi ya 80 wamefanya mitihani yao kwa namba zao walizotumia mwaka wa pili wakati huo wengine Wana namba mpya, Je watapata matokeo yao kweli? Je namba zao hizo zilizokwisha tumika zinatambulika tena NACTE kwa mitihani hii ya mwaka wa 3?
-------------------------
Humu ndani Ni jukwaa la the great thinkers naamini mtashauri au mtasaidia njia ya kuwasaidia wanafunzi Hawa.

Kuna wengine walikwenda Hadi wizarani walikutana na Dr. Ndimila Wambura kulalamikia madhira hayo wanayofanyiwa chuoni. Majibu waliyopewa hayakuridhisha:-

Waliajibiwa hivi "Mnachezea nauli za kuja hapa, mnatakiwa Mkae hata Miaka 10 kwani chuo si mlikwenda kwa miguu yenu?"

Wanajamvi wenzangu naomba kuwasilisha!!!!
 
Wamuone Dr. Fadhili ambae ni Naibu Mkurugenzi wa Mafunzo, au Mkurugenzi mwenyewe Dr. Saitory, jambo lao litatatuliwa vizuri tu....njoo inbox nikupe namba zao...ahsante
Asante kwa ushauri wako naomba utusaidie namba zao Kama unazo tafadhali tuma kwa inbox
 
Wanajukwaa Salaam kwenu.

Juzi nilikutana na Vijana wanne wanaosoma Clinical Officers Training College - Lindi (COTC). Pamoja na story zingine lakini pia nilivutiwa na hasa story kadhaa Zifuatazo:-

1. Mwanafunzi kusoma kwa miaka 7 kwa kukamatwa kwenye somo moja linalofundishwa na Dr. Mmoja sababu ya chuki. Kwa kawaida chuo kile huwa kina Train officers kwa level ya Diploma kwa Miaka 3.

2. NACTE kutoa cheti kwa mwanafunzi lakini Bado yupo darasani na wiki hii amefanya mtihani wake.

3. Wanafunzi wa mwaka wa tatu kuzuiwa kufanya mtihani wao wa mwisho na wanafunzi kukosa namba za NACTE bila kujua tatizo
------------------------------
Clinical Officers Training Collage (COTC) Lindi na Uongozi wake.

MKUU WA CHUO - Dr. KATISA.
MLEZI WA CHUO - Dr. AFRED MAGANI.
ACADEMICS - Dr. MBEZI


Iko hivi:;

Chuo Cha COTC Lindi
Kwa sasa chuo hicho cha COTC Lindi wanafunzi wako kwenye mitihani yao ya mwisho kwa ajili ya kumaliza course zao za mwaka wa tatu na kusubiria matokeo yao na kupatiwa vyeti vyao maisha yaendelee.

Kwa kawaida kwenye hizi collage huwa namba za mitihani zinatoka NACTE, baada ya kuhakiki vyeti vya O-level wanavyo submit wakati wa kujoin chuoni. Utaratibu huu huwa Ni kuazia mwaka wa Kwanza. Sasa wanafunzi zaidi ya 80 wamekosa namba za kufanyiwa mtihani huo kutoka NACTE huku wachache wakipata namba zao tena wa course moja.

kimsingi wanachuo walipewa namba usiku wa kuamkia siku ya kuaza mitihani yao ya mwisho. Hivyo wachache ndo waliopata na wengine kukosa namba. ilipofika siku husika wengi waliaza kuranda nje ya chumba Cha mtihani. Ambapo wasimamizi walipouliza waliambiwa kwamba hawajapata namba.

Wanafunzi waliamua kuuliza kwa Dr. Alfred Magani ambaye ndiye Mlezi wa chuo. Aluwajibu hawatafanya mtihani Hadi mwezi February mwakani sababu hawajamaliza ada ya shule pamoja malipo mengine. Na Kuna wengine hawapewa namba kwa kuwa usajili wao haujakamilika? Wanafunzi waliamua kumfuata mkuu wa chuo Dr. Katisa ambaye baada ya kuona kunataka kutokea shida aliamuru kwamba wapewe nafasi ya kufanya mitihani yao kwa namba walizofanyia mwaka wa pili wa masomo yao.

Kuna mwanafunzi aliwahi kuhoji na kutaka kuoneshwa matokeo yaliyotoka NACTE maana alikuwa anaona si kweli somo hilo kukamatwa Kila wakati akanyimwa. Na ndo hapo ilipoaza chuki baina yake na huyo Dr. Afred Alitamka na atamkomesha.

Kweli ikawa hivyo Kila mwaka lazima afanye somo hilo Kama sup, na hata sasa kwenye mitihani ya mwaka wa tatu amelazimika kufanya kipolo Cha mtihani wake wa nyuma ila mitihani yake ya mwaka wa tatu maana yake atafanya mwezi wa sita mwakani 2020!

Sasa wakati anaendelea kusoma Kuna siku aliingia oficn akaona cheti chake na vyeti vya wanafunzi wenzie wanne ambao miongoni mwao walishaacha chuo kwa kukosa ada baada ya kuambiwa wanapaswa kurudia mwaka na kulazimika kulipia ada na hawakuwa nazo hivyo wakaondoka.

Na alipoona alimfuata mlezi wa chuo na kumueleza kwamba ameona cheti chake Cha kuhitimu chuo lakini hajawahi ambiwa na anahitaji cheti chake. Dr. Alfred hakukataa ila alidai kwamba hatapewa cheti lakini lazima alipie Tsh 380,000/= ndo apewe. Alipouliza deni la kitu gani ikiwa alishalipa mwaka ule alioofanya mitihani ilifanya NACTE kutoa cheti hicho? Aliambiwa Kama hataki aendelee kusoma. Maana yake huyo kijana Hadi mwaka huu anatimiza Miaka 7 masomoni kwa hoja za kukamatwa kwenye mitihani.

Aliamua kumfuata mkuu wa chuo na kumueleza haya lakini Cha ajabu naye mkuu wa chuo alimueleza kwamba Kama cheti kimetoka Basi NACTE walikosea kukitoa cheti hicho. Hivyo hapaswi kupatiwa. Lakini kwa Mlenzi wa chuo anachotaka Ni laki tatu na themanini apatiwe cheti chake.

Story Ni ndefu Sana Ina kadhia nyingi na Ina rushwa za ngono na fedha kwa baadhi ya Dr. Wanaofundisha kwenye hicho chuo. Ila mie naomba kujua Mambo machache ambayo ninajiuliza!

1. Hivi kweli NACTE wanaweza kutoa cheti Cha ku satisfy elimu ya mtu bila uhalali?
2. Kama kweli NACTE walitoa cheti Je mitihani aliyofanya Miaka miwili wamesahihishaje? Hawakujua na hawana kukmbukumbu ya kijana huyu kwamba alishamaliza elimu yake na kupatiwa cheti?
3. Kama wanafunzi zaidi ya 80 wamefanya mitihani yao kwa namba zao walizotumia mwaka wa pili wakati huo wengine Wana namba mpya, Je watapata matokeo yao kweli? Je namba zao hizo zilizokwisha tumika zinatambulika tena NACTE kwa mitihani hii ya mwaka wa 3?
-------------------------
Humu ndani Ni jukwaa la the great thinkers naamini mtashauri au mtasaidia njia ya kuwasaidia wanafunzi Hawa.

Kuna wengine walikwenda Hadi wizarani walikutana na Dr. Ndimila Wambura kulalamikia madhira hayo wanayofanyiwa chuoni. Majibu waliyopewa hayakuridhisha:-

Waliajibiwa hivi "Mnachezea nauli za kuja hapa, mnatakiwa Mkae hata Miaka 10 kwani chuo si mlikwenda kwa miguu yenu?"

Wanajamvi wenzangu naomba kuwasilisha!!!!
Nacte Ni maushuzi tu
 
Back
Top Bottom