Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space 16.00GB. Nikijaribu kudownload kitu kutoka Google store/play, inaniambia space is not enough. Msaada...
Ni jambo jema kwani wanafunzi, walimu na wafanyakazi wengine wanaandaliwa mazingira ili waweze kufurahia utumishi na uanafunzi wao wawapo UDOM. Hongera serikali kwa kusikia kilio cha wana UDOM.
Ni kweli kwamba uwanja ulijaa watu, wakiwemo vijana na washabiki wa Diamond. Baada ya kugundua kuwa hakuna cha Diamond wala nini, wakaanza kutoka uwanjani. Kumbe watu wanakwenda kwenye campaign kwasababu mbalimbali, mojawapo ikiwa in kuangalia burudani!
Jambo la pili nililojifunnza hapa...
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!
Dogo kachaguliwa kwenda Ashira sekondari kusoma HKL. Naomba kufahamu kama iko vizuri kitaaluma na malezi. Nitafurahi pia nikipata mawasiliano na yeyote mwenye mtoto anayesoma Ashira au ya mwalimu wa Ashira.
Hongera mkuu. Watu wana chuki binafsi. Kwa kuwa hilo limedokezwa na Mengi basi anapuuzwa. Angesema Mzee tupa tupa wa lumumba angeungwa mkono. Watu wa usalama mzee Mengi ni msaada kwa uchunguzi wa kifo cha Kamukara (kama uchunguzi unahitajika).
Tatizo la ukosefu wa ajira nchini Tanzania ni kubwa kama ilivyo kwa nchi nyingine ulimwenguni. Kwa sasa ukosefu wa ajira Tanzania umefikia 11.7%. Naweza kusema asiyeona kama kuna tatizo la ukosefu wa ajira ana matatizo ya kufikiri.
Mgombea urais ndg Edfonce kutoka Kigoma ambaye ni mhitimu wa darasa la saba amechukua fomu ya kugombea. urais. Ninavyofahamu ni kuwa mgombea urais anapaswa kuwa na elimu ya chuo kikuu. Sasa imekuwaje huyo ameruhusiwa kuchukua fomu?
Nakumbuka Kinana na Nape walivyomshauri mwenye mamlaka ya uteuzi wa mawaziri kuhusu mawazi mizigo. Mwenye mamlaka aliwabeza. Huo ukawa mwanzo wa wananchi kudhani kuwa mwenye mamlaka anaunga mkono utendaji mbovu wa mawaziri.
Kuanzia juzi mnaniibia kifurushi changu cha internet. MB 200 zinaisha baada ya kuperuzi muda mfupi tu tena vitu vya kawaida. Najiaandaa kuhama pamoja na familia yangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.