Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Waandishi wa habari wazalendo Manyerere Jackton na Deo Balile. Ni Watanzania wenzetu na lengo lao kubwa ni kutumia kalamu kulikomboa taifa. Wamepiga sana kelele za ufisadi wa makontena na kwenye mbuga za wanyama Kikwete hakuwahi kuwasikiliza na kwa kuwa sisi Watanzania wengine ni mbumbumbu ile kazi yao, kujitoa muhanga na bidii ilipotea bure. Kazi yao ya sasa ni kipimo kama Magufuli anayo dhamira ya dhati kupambana na ufisadi
Hopefully kupitia hao jamaa tutahabarishwa kuhusu ufisadi mbalimbali alizopiga Kikwete kama vile bomba la gesi toka Mtwara, kampuni yake ya Halotel na kupeleka jeshi Kongo kusaidia biashara yake ya dhahabu na mbao ambayo Riziwani na Joseph Kabila ni ma CEO. Ahsante JAMHURI
😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱 bwana weweeee
Last edited by a moderator: