Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
Mkulima darasa la saba Eldoforce Bilohe amekua kituko baada ya kukaribishwa CCM makao makuu DODOMA na kisha kushindwa kukamilisha zoezi kwa kukosa fedha.
Amepata ushabiki mkubwa kutoka kwa wananchi na waandishi. Kaingia kwa miguu na kaondoka kwa miguu kuelekea benki hata hivyo amechelewa kurudi.
Chanzo: AZAM TWO
Bonyeza HAPA kumsikiliza wakati akiongea na waandishi wa habari