Fukara
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,625
- 927
Serikali imkamate mengi kwa uchochezi
dah mkuu hiyo hata ndotoni haiwezekani.naunajua hilo
Serikali imkamate mengi kwa uchochezi
Mungu akulinde sana .
Naungana na wewe Kim, huyu babu mwenzangu ni mnafiki wa kutupwa, serikali imkamate na ahusike kwa kifo hicho, kuna maswali mengi ya kujiuliza, yeye Mengi alijueje kuwa Kamukala anafatilia hiyo habar? Ana maslahi gani na waandishi wa habar za uchunguz? Je mwandishi alikuwa anareport kwa Mengi mpka ajue kuwa marehem alikataa mamilioni? Kwanini Mengi ahusishwe kila mara kuichokonoa serikali? Ni muda mwafaka sasa serikali imshughulikie huyu mtuSerikali imkamate mengi kwa uchochezi.Mengi ni mtu mnafiki na mchonganishi sana,mengi ni mmoja Wa watu waliowachonganisha jk na lowassa halafu yeye ndio kawa rafiki Wa lowassa na rostam,urafiki unaotia Shaka,naomba afe natural death akiwa usingizini asimuone rais ajaye
Wabongo bana akili zetu zipo kwenye kaptula na sketi tu, mtu ametoa mwanga wa kifo cha mwanahabari kwa jinsi anavyojua yeye, baada ya watu kudai uchunguzi huru mnalaumu mtoa habari, akili za baikoko tuu
Na yeye amegeuka kuwa mwandishi wa habari za udaku.
Moja ya maswali critical zaidi kuwai kuulizwa na mtanzania. Nadhani unastahili kufanya kazi CIA au taasisi nyeti za uchunguzi kama FBI. Sidhani kama kuna watu watakuelewa na kama wapo basi ni wachache sana.Naungana na wewe Kim, huyu babu mwenzangu ni mnafiki wa kutupwa, serikali imkamate na ahusike kwa kifo hicho, kuna maswali mengi ya kujiuliza, yeye Mengi alijueje kuwa Kamukala anafatilia hiyo habar? Ana maslahi gani na waandishi wa habar za uchunguz? Je mwandishi alikuwa anareport kwa Mengi mpka ajue kuwa marehem alikataa mamilioni? Kwanini Mengi ahusishwe kila mara kuichokonoa serikali? Ni muda mwafaka sasa serikali imshughulikie huyu mtu
Huo ndio ujinga wa watanzania wengi. Mtu akitoa hoja au dai wanaacha kujadili hoja au dai lake wanaanza kumjadili mtoa hoja.Wabongo bana akili zetu zipo kwenye kaptula na sketi tu, mtu ametoa mwanga wa kifo cha mwanahabari kwa jinsi anavyojua yeye, baada ya watu kudai uchunguzi huru mnalaumu mtoa habari, akili za baikoko tuu
Serikali imkamate mengi kwa uchochezi.Mengi ni mtu mnafiki na mchonganishi sana,mengi ni mmoja Wa watu waliowachonganisha jk na lowassa halafu yeye ndio kawa rafiki Wa lowassa na rostam,urafiki unaotia Shaka,naomba afe natural death akiwa usingizini asimuone rais ajaye
Huo ndio ujinga wa watanzania wengi. Mtu akitoa hoja au dai wanaacha kujadili hoja au dai lake wanaanza kumjadili mtoa hoja.
Sidhani kama hiyo habari Kubenea haijui
unless ni uzushi but hai make sense Tanzania yetu kuwe na habari halafu mwandishi mmoja tu ndo anaijua
Huyu mzee wa media naye awe mkweli,habari hiyo si aiseme tu? Habari inajulikana na mtu mmoja tu? Ataishia kuoa mamiss tu ambao ni sawa na wajukuu wake.
Wabongo bana akili zetu zipo kwenye kaptula na sketi tu, mtu ametoa mwanga wa kifo cha mwanahabari kwa jinsi anavyojua yeye, baada ya watu kudai uchunguzi huru mnalaumu mtoa habari, akili za baikoko tuu
Uzushi wa mengi na kubenea tumeuchoka kama anajua jambo mbona haweki wazi ndorooooobo kabisa huyu mzee.
Reginald Mengi ni mtu hatari sana. Hasira yake ya kunyimwa vitalu inasababisha atunge uongo kila kukicha