nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 938
Hahaha kumbe mzungu kumpiga picha mweusi ni sifa, hahaha[/
Halafu hujui wanaenda nazo wapi, wewe unashangilia Tu; Nimepigwa picha na mzungu!.
Hahaha kumbe mzungu kumpiga picha mweusi ni sifa, hahaha[/
Halafu hujui wanaenda nazo wapi, wewe unashangilia Tu; Nimepigwa picha na mzungu!.
Babu Slaa amebaki kulalamika kusalitiwa na Ngwajima...
Membe kumbe hamna kitu yani kazidiwa hata na mwigulu nchembe...yani anaiongelea lindi utadhani anataka ubunge
Membe, wewe ni msomi wa kiwango cha juu unaposema umeongea na Mwalimu Nyerere kwenye kaburi lake kuhusu wewe kugombea urais umemishangaza sana.
Mwalimu Nyerere ni marehemu sasa hivi sasa unaposema umeongea na marehemu sijakuelewa ujue.
Halafu Nyerere na Mungu hawawezi kujadiliana kuhusu wewe daahh!!!.
Haya tuendelee kukusikiliza.
Acha kuongea kitaarabu Kama umeingiziwa dole kwenye mtandao wa tigo
Mii nimeamua kuwaangalia wadada waliovaa green and yellow wanavokatika.
michezo ya kompyuta wewe mla panyaView attachment 258169
Membe na Nyerere wana historia ndefu sana. Hivyo ni muhimu kwake kutafuta busara za baba wa taifa pamoja na kwamba ni hayati sasa.
Nani ana-run Twitter account ya Membe?? Maana yeye anaongea ila account yake pia inafanyiwa updates!
View attachment 258170