Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,556
- 12,676
Makonda anatumika vibaya. Mwisho wa siku Hawa watu huwa wanaabika vibaya. Marekani wenyewe wenye uchumi mkubwa ambaye kila siku babake anapeleka bakuli kuomba wanatatizo la ajira. Sembuse yeye hapo Kndoni?Mkuu wa wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda, ameseme leo jijini Dar-es-salaam kuwa wale wanaopita na kudai kuna upungufu wa ajira, wao wenyewe ndio wana upungufu wa kufikiri.
Chanzo:Channel 10.