Shule ya Mbuyuni Kutoa First Ladies Wawili

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!
 
ndio maana mama salma alikua anarukaruka sana baada ya mzee pombe kutangazwa akamnyanyua na ticha mwenzie first lady to be
 
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!

Mama Janet Magufuli alionekana kuwa mama mwenye very low profile.
Anaonekana ni mwanamke asie na makeke; namfananisha na Mama Maria Nyerere. Wengine saa hizi tungeona mapicha, mapozi nk

Queen Esther
 
Mama Janet Magufuli alionekana kuwa mama mwenye very low profile.
Anaonekana ni mwanamke asie na makeke; namfananisha na Mama Maria Nyerere. Wengine saa hizi tungeona mapicha, mapozi nk

Queen Esther

Subir azoee utashanga mwenyewe,ndiyo utajua makeke ya wahaya yakoje,hyo ni mhaya bna achana nae kabisa
 
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!
Duh!! Kumbe Magufuli maisha take yote Dar. Mimi nilifikiri ni Chato.
 
Back
Top Bottom