Wakuu nimepata kazi katika NGO fulani ambayo Roughly nitakunja kama 1m hivi take home niko around 20s age. Sitegemewi na familia maana bado wana kazi, nilisoma uzi fulani wa kijana mwenzangu ambaye alipata kazi katika umri mdogo tu na kujikuta anatumbukia kwenye starehe sitaki kufanya makosa...
Utafutwe utaratibu tu mkuu hata hao wanopita JKT ni wanabebana sana sana kiasi kwamba taasisi inakuwa underperformance kwa vile tu waajiliwa wamebebwa na mbeleko na hawako competent hata kama wanazo qualifications
Mkuu kwani kwa sasa recruitment ya vyombo vya dola ikoje? Mimi ni mtoto wa Askari na utaratibu wa kuingia uaskari kipaumbele huwa ni watoto wa maskari nimeliona ilo kwa muda, kuna post ambazo zinaweza kuwa excluded utumishi ila hawa wanaoenda depo wapite utumishi tu
Wakuu Moja ya mifumo imara ni huu wa Secretariat ya Ajira utumishi, Huu mfumo Utaleta Uimara mkubwa katika Taasisi za umma ambalo mwazo ilikuwa shamba la bibi yani ofisi unakuta imejaa ndugu tupu, Au watu wa ukanda fuĺani tu matokeo yake ufanisi hupungua sana na kufanya ofisi za umma kuwa kijiwe...
Wakuu naomba kujua machache kuhusu huu mji naweza kuwa kule kwa takribani miezi mitatu. Kwanza naomba kujua nauli za Bus kutoka Dar es Salam mpaka Songea?
Je, maisha mji ule yapoje?
Mtandao gani wa simu unatumika zaidi?
Fursa za uwekezaji zikoje haswa katika biashara?
Chadema ni watu wa ovyo sana wamekuwa wakifanya matukio ambayo wanaona kabisa yanavunja sheria ili kutafuta tu attention ya authorities na baadae kuja kulalama hawa watu kwa kweli hawana Nia njema na Taifa letu tulivu kabisa nitashangaa sana kama Jaji Kaijage ata mpa Tundu lissu go ahead ya...
Hello technologist, I would like to hear technically from you, how is goverment could be able to shutdown imternet acces? tumesikia kuwa DRC congo has shutdown internet acces to their country to avoid leakage of election result s sasa ni kuwa wamewazaje kufanya ivo kuna switch yoyote inayoweza...
Wakuu naona naona hamjanisoma vizuri, iko Ivi Detail Protection ya mkuu Ni kweli ina spot maeneo na kuyafanyia uchunguzi kabla mkuu hajafika ata within a month before, Sasa kitendo cha mkuu kutazama popularity na kuamlisha kuwa Anataka kusalimiana na watu apo kwa vile ni wengi ni hatari mno...
Wakuu Msafara wa Rais (motorcade) ni msafara Makini na Wenye dhamani kubwa Popote upitapo, Traffic sambamba na wana usalama Hukakikisha Msafara huu upitapo Basi Barabara Hufungwa na watumiji wote wa Barabara kuupisha msafara Huu ili Kuondoa msongamano na kumpa uharaka mshesimwa Rais kufika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.