Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
Wakuu naomba kujua machache kuhusu huu mji naweza kuwa kule kwa takribani miezi mitatu. Kwanza naomba kujua nauli za Bus kutoka Dar es Salam mpaka Songea?
Je, maisha mji ule yapoje?
Mtandao gani wa simu unatumika zaidi?
Fursa za uwekezaji zikoje haswa katika biashara?
Je, maisha mji ule yapoje?
Mtandao gani wa simu unatumika zaidi?
Fursa za uwekezaji zikoje haswa katika biashara?