Mwana Ukoo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 252
- 422
.
Wakuu naomba kujua mfano mtu ameajiliwa na Diploma ya Mechanical engineering au Electrical engineering Serikali baada ya kufanya kazi kwa miaka kadhaaa ameamua kutaka kujiendeleza lakini sio katika hio fani aliyo ajiliwa nayo badala yake anataka kwenda upande wa Account au IT yani achukue degree nyingine kabisa hapo imeeakaje kuhusu ruhusu na promotion baada ya ku graduate?