Kusimama Kwa Msafara wa Rais na Kuhutubia imekaaje Kiusalama

Mwana Ukoo

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
252
422
Wakuu Msafara wa Rais (motorcade) ni msafara Makini na Wenye dhamani kubwa Popote upitapo, Traffic sambamba na wana usalama Hukakikisha Msafara huu upitapo Basi Barabara Hufungwa na watumiji wote wa Barabara kuupisha msafara Huu ili Kuondoa msongamano na kumpa uharaka mshesimwa Rais kufika haraka uko aendako ila pia kwa sababu za kiusalama Gari hua kasi sana,

Back to the Topic
Je kitendo cha msheshiwa Rais kusimama Sehemu mbalimbali na kuongea na wananchi imekaaje kiusalama? Nimaeneo machache sana ambapo wana usalama hutangulia kufanya Ukaguzi kama msheshimiwa ata simama au lah, Sehemu nyingi ni Unplanned yani hazikuwa kwenye plan ya mkuu kusimama ila husimama na kuongea na Haraiki, Mkuu husimama kwa kuangalia population au Wananchi huenda mbele zaidi na Kuzuia Huo msafara kwa nia njema ya kupata kumuona Rais wetu, Hii inaweza kuwa poa kwa mkuu ila inatoa loopholes kwa watu wasio na nia njema, Mkuu leo alikuwa na Ziara ya Kuja tanga na Amesimama maeneo mengi sana njiani, Hii imekaaje Wakuu
 
Mwananchi hawezi zuia msafara kwa nia njema au lah.Usijidanganye hakuna sehemu kasimama rais hapajosomwa.Wale wako nchi nzima.Vituo kila mkoa/wilaya.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Mi naona iko poa tu,inawezekana wewe ndio ulikuwa hujui kuwa atasimama hizo sehemu kumbe yeye alishaa kuwa na maandalizi miezi 2 kabla,na watu wa usalama walishamuandalia mazingira salama muda tu ndugu.
 
raisi huwa anajua anasimama wapi kwa mbio zile unasimamishaje labda ,? he have timetable na security inakuwa tayari imewekwa
 
ni taswira gani unayoipata unapoona wananchi wengi wanamkimbilia our no 1 kuelezea shida zao?huoni kuwa hapo kuna tatizo because our president ana wasaidizi wengi tu kuanzia mawaziri hadi wakuu wa wilaya,sasa kama wote hawa wangewajibika kikamilifu tusingeyaona haya ya shida zote zinaelekezwa kwenye taasisi moja tuu,ni imekuwa ndio tulivyo kuijenga zaidi taasisi hii bila ya kuzijenga taasisi za kumsaidia;usalama bila shaka upo wa kutosha sioni tatizo hapo mbona wakati wa kampeni tunakunywa nao mbege.
 
Je kitendo cha msheshiwa Rais kusimama Sehemu mbalimbali na kuongea na wananchi imekaaje kiusalama?
Changa la macho tu na kutaka cheap popularity, inakuaga iko planned, hakuna mwananchi anayeweza kusimamisha msafara wa Raisi, hivi ile speed ypote ile unasimamaje? Hio iko planned ila huwa hawasemi tu
 
Yaani we unaamini kwamba unasimamishwa? Kila kinachofanya kinakuwa kimepangwa, wananchi wanajuaje leo rais anapita?
 
Wakuu naona naona hamjanisoma vizuri, iko Ivi Detail Protection ya mkuu Ni kweli ina spot maeneo na kuyafanyia uchunguzi kabla mkuu hajafika ata within a month before, Sasa kitendo cha mkuu kutazama popularity na kuamlisha kuwa Anataka kusalimiana na watu apo kwa vile ni wengi ni hatari mno mkuu anaweza kuplan ashuke apa na pale na kusalimia watu waliojitokeza na Wana usalama wakapawahi kupakagua ila am sure 100℅ Kuna maeneo huangalia popularity iliopo na kuamuru asimame kusalimia haraiki au lah, Kiusalama tu si pio na maeneo hayo yana threaten level kubwa sana, Kama unajua mambo ya VIP protection nafikili utakuwa unaelewa ninachomanisha
 
Iko hivi, sehem iliyoandaliwa kwa muheshimiwa kufika kwa kuzindua mradi au kuhutubia ni muhimu zaidi kupaandaa kiusalama kuliko sehemu anayo simama kwa dharula,

Kwenye misingi ya mashambulio kuna moja inasema ,
FANYA LOLOTE JIPYA AMBALO ADUI HAJALIZOEA.

yaani,adui hawezi kukushambulia bila ya kukusoma tabia au mazoea ,
Kwahiyo kwa muda anaosima sehem za namna ile sio lahisi adui kutekeleza shambulio kwakua sio sehem rasmi kwa yeye kusimama.

Ila kwa sehem anayopanga kwenda ni lazima iandaliwe kikamilifu ,mita 500 kila upande ikiwezekana iwe chini ya ulinzi .

Ila ninavyohisi wengi wao wanaomshangilia kwenye majukwaa na wanaomsimamisha kwenye vijiji wanaweza kua walioandaliwa ,kwahiyo na walinzi nahisi watakua kati yao ktk sehem hiyo.

Maana sio rahisi mwanamchi wa kawaida anaepigika kwa njaa wakati huohuo anabomolewa kabanda kake huko njiani amsimamishe na kushangilia.
 
Hao wanaosimamisha msafara kwa kuingia barabarani ni akina Lizaboni na akina MOTOCHINI naona huwa wanakuwa wameandaliwa mapema hakuna mtu asiyejulikana alikotoka anaweza simamisha msafara wa Rais.
 
Back
Top Bottom