Habari wana jamvi,
Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.
Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya...
Wanabodi nimesoma mahali fulani katika matukio mbalimbali ya mkesha wa mwaka mpya wa 2020
imelipotiwa kuwa watoto walio zaliwa Siku ya mkesha wa mwaka 2020 ndani ya mkoa wa Dar es Salaam pekee ni 136 kati hao watoto wa kiume ni 41 pekee,
Ninacho uliza je! Ndio idadi ya wanawake inazidi kuwa...
Mh. Kangi lugora waziri wa mambo ya ndani yupo mkoani Rukwa kwa ziara ya kikazi, katika ziara ziara hiyo leo alikua akihutubia kwenye viwanja vya shule ya msingi Laela 'A' ktk mji mdogo wa Laela wilaya ya sumbawanga vijijini
Wakati akiendelea na hotuba yake kuna minong'ono ilianza kusikika...
Hakika tamthilia hii ilituvuta wengi kwa kadri ilivyo ilivyokua na waigizaji mashuhuri,
Lakini sasa naona bora nirudi kulewa maana sultan bila hawa si chochote
Iblahim pasha
Khadije,
Niger karfa
Maiko chogro
Urojo pale jikoni,
Nasasa mustafa du!
Wana jamvi salam
Ndugu zangu watanzania wenzangu na hasa wakulima na wadau wa mazao ya kilimo, kuna ugonjwa umezuka unashambulia zao la mahindi kwa kasi kubwa sana
Naomba kama kuna mtu, au mtaalam anaejua dawa I mean viuatilifu vinavyo weza kuwazibiti wadudu hawa tafadha naomba ushauri wenu...
Wana bodi salam,
Kwanza niwapongeze wote ambao kwa neema zake Mwenyezi Mungu tumeweza kuuona mwaka mpya wa 2019, kama maada inavyo hoji hapo juu, ndug zangu nilikua nikifuatilia vyombo mbalimbali vya habari ambavyo vimekua vikiripoti matukio kadhaa ya hizi Siku kuu ambazo tumetoka kuzimaliza...
Ni mbwa mmoja mwenyewe tabia za kushangaza,
Mnyama huyu anapatukana mji wa Laela wilaya ya sumbawanga vijijini mbwa huyu kwa muda mrefu amekua na tabia ya kuhudhulia misiba yote inayo tokea mjini hapo,
Kitu ambacho kinawashangaza wakaazi wa eneo hilo ni kwanba mbwa huyu hua anajuaje misiba...
Kama ilivyo kwa vitu vingine, viatu lazima viwe viwili ili viitwe pea, na watu wakizaliwa wawili wanaitwa mapacha, je! Wakizaliwa watatu wataitwaje? Wajuvi wa mambo tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuwa diwani wa kata ya Namilembe wilayani Ukerewe Mkoani Mwanza Innocent Joseph Lusato kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametangaza kujiudhuru na nafasi zake zote ndani ya chama hicho na kutangaza kujiunga na chama cha Mapinduzi CCM.
Akitangaza maamuzi hayo...
Wana body salam
Nimeshangazwa sana kuona mh. Mbunge wa jimbo la kwela Iginas Marocha bila haiba wala kuogopa tens bila soni, akichukua mamilioni ya fedha zilizo tolewa hivi karibuni kwenye kila alimashauri takribani tsh.400m kuzielekeza fedha zote kijijini kwake bila kuzigawa kwenye vijiji...
Hama hama ya vyama inazidi kushika kasi, Leo wakati tukiazimisha miaka 41 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi, chama hicho kimewapokea wanachama zaidi ya 50 kutoka CHADEMA akiwemo ndg James Mwanilyela aliekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Kwela kupitia tiketi ya Chadema, hata hivyo Mbwana...
Ndugu zangu wakulima umezuka ugonjwa mbaya unashambulia mimea ya mahindi kwa kasi sana,
ugonjwa huu uta waathiri sana wakulima wa mahindi mkoa wa Rukwa iwapo haitadhibitiwa mapema.
Video ya Eric Omondi yamtoa povu Barakah The Prince
Baada ya Eric Omondi kuachia video ya parody ya wimbo wa ‘Kuliko Jana’ wa Sauti Sol, msanii wa Bongo Fleva Barakah The Prince amemjia juu mchekeshaji huyo.
Hitmaker huyo wa Nisamehe ameonyeshwa kuchukizwa na baadhi ya vipande vya kwenye video...
habari watu wangu.
Pokezi na za kutafuta mkate wa siku. samahani ndg sijui kama hapa itakua ni sehemu sahihi ya kumfikishia ujumbe mkuu wa kaya ili aweze kutekeleza ahadi yake kwa huyu kijana mlemavu alie mpa ahadi ya baiskeli ya walemavu.
MH. Jpm. Alitoa ahadi hiyo alipo kutana na...
Habari watu wenzangu,
Samahani sijui kamahapa njia sahihi ya kumfikishishia ujumbe mkuu wa kaya
Kipindi cha kampeni aliahidi kumpa baiskeli ya walemavu kijana huyu aitwae
Joseph Silwamba anapatikana mji mdogo wa LAELA, Sumbawanga.
Tafadhali share ili tupate ufumbuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.