Hoja ya Halima Mdee na wenzake ilikufa?

Hoja ya Halima Mdee na wenzake ilikufa?

chilamanyika

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2016
Posts
405
Reaction score
272
Habari wana jamvi,

Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.

Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
 
Habari wana jamvi,

Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.

Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
Halima Mdee na wenzake 18 siyo wanachama tena wa Chadema,sasa unataka Chadema wajadili nini juu ya wanaccm hao?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Habari wana jamvi,

Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.

Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
Hilo jambo lipo mahakamani
 
Habari wana jamvi,

Kama wewe ni mfuatiliji wa siasa za bongo utanielewa. Ni kwanini viongozi wote wa chadema hawaongei kuhusu wabunge wa viti maalumu ambao walipewa jina covid 19. Ni jambo la kushangaza sana.

Mikutano ya hadhara imefunguliwa Kwa Kasi kubwa na hoja nyingi kemkem lkn hojja ya Halima na wenzake haipo kabisa midomon mwa viongozi kuna nini.
Tupo kwanza na historia ya nchi yetu kuanzia 2015 tulipovamiwa na mkoloni mweusi kutoka Chato hadi tulipopata uhuru tena tarehe 17/03/2023.
 
Back
Top Bottom