Karibu mzaramu halisi bila chenga, kwa maneno hayo hata usingejitambulisha tungejua tu ni mzaramu kwakwel, karibu sana jamvini ndugu yake mbwiga mbwiguke
Kwa mfano Ndo umeshakopeshwa then ukatokomea moja kwa moja hivyo vyeti vyako vitamsaidia nn muhusika aliyekukopesha, ukiangalia serekali ya sasa haitaji kuajiri watu kwa vyeti feki, pia hivyo vyeti sizani kama vitakuwa na Masada wowote hata ajira zenyewe hakuna, watu kibao wana vyeti...
Mitandao ya sim huwa ni wahuni sana aisee, komaa nao mpaka wakupatie mpunga wako, kingine ukienda kwenye hizo ofisi za sim usipende kuongea na vikaragosi aka. Customer service, nenda kaongee na manager kabisa mueleze tatizo lako, hawa wengine zengwe jingi sana
Uelewa nao kazi, mtoa mada hajamlazimisha mtu kuolewa, anawataarifu wanawake wenye tabia hizo waache, hata ww kama ungekuwa na tabia hizo mmeo asingekuoa huna izo tabia ndio mana akakuridhia, la sivyo ungekuwa unaranda randa mtaani tu na kubadilisha mabwana
Washikaji zako wangap mkuu, mbona kama unatupiga kamba sizani kama anazid mmoja aisee ww sema kuna mshikaji wangu na c washikaji au na ww umeoa above 30? , wengi wao hizo tabia ndio zinawafanya wafikie huko bila kuwa na ndoa mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.