Search results

  1. W

    Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  2. W

    Msaada; Naomba kujua sifa na ubaya wa Tandika Yombo

    Mmmmh mkuu huko si ndio kwenye mapanya road ña roba za mbao pole
  3. W

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    We kweli ni askar muoga ambae ulikimbia vita nchini kwenu, kwetu tz hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii
  4. W

    Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Pia nakumbukakulikuwa hakuna idadi maalum ya kubadilisha wachezaji
  5. W

    Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Daaaah mkuu kigoma mitaa ipi mdau?
  6. W

    Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Umenikumbusha mbali sana mkuu
  7. W

    Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

    Karibu mzaramu halisi bila chenga, kwa maneno hayo hata usingejitambulisha tungejua tu ni mzaramu kwakwel, karibu sana jamvini ndugu yake mbwiga mbwiguke
  8. W

    Tundu Lissu kutinga Mahakama Kuu kushinikiza Maxence afikishwe Mahakamani

    Ivi kuna mawakili wengine sio wasomi et? Akomae kwanza na lema ndio aje huku kungine aisee atakuwa kapata kiki ya kutosha sana
  9. W

    Natafuta mkopo wa 5M, dhamana vyeti vyangu

    Kwa mfano Ndo umeshakopeshwa then ukatokomea moja kwa moja hivyo vyeti vyako vitamsaidia nn muhusika aliyekukopesha, ukiangalia serekali ya sasa haitaji kuajiri watu kwa vyeti feki, pia hivyo vyeti sizani kama vitakuwa na Masada wowote hata ajira zenyewe hakuna, watu kibao wana vyeti...
  10. W

    Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Mkuu kwan huoni hii story ni yalini? Toka 2015 mküu cheki vizur
  11. W

    Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

    Hii itakuwa mipasho ya mumivu Tu ya kitu fulani c bure,
  12. W

    Msaada: Kuhusu hela iliyotumwa M-Pesa kwenda bank na haikufika

    Mitandao ya sim huwa ni wahuni sana aisee, komaa nao mpaka wakupatie mpunga wako, kingine ukienda kwenye hizo ofisi za sim usipende kuongea na vikaragosi aka. Customer service, nenda kaongee na manager kabisa mueleze tatizo lako, hawa wengine zengwe jingi sana
  13. W

    Lazima heshima irudi

    Punguza munkari bi Dada, fikiria kabla ya kutenda, sio utende ndio ufikirie, maana ukifanya hivyo utakuja kujutia tena humu na kuomba ushaur tena
  14. W

    Ukiona mwanamke anafika Miaka 30 hajaolewa, kuwa nae makini kama unataka kumuoa

    Uelewa nao kazi, mtoa mada hajamlazimisha mtu kuolewa, anawataarifu wanawake wenye tabia hizo waache, hata ww kama ungekuwa na tabia hizo mmeo asingekuoa huna izo tabia ndio mana akakuridhia, la sivyo ungekuwa unaranda randa mtaani tu na kubadilisha mabwana
  15. W

    Ukiona mwanamke anafika Miaka 30 hajaolewa, kuwa nae makini kama unataka kumuoa

    Washikaji zako wangap mkuu, mbona kama unatupiga kamba sizani kama anazid mmoja aisee ww sema kuna mshikaji wangu na c washikaji au na ww umeoa above 30? , wengi wao hizo tabia ndio zinawafanya wafikie huko bila kuwa na ndoa mkuu
  16. W

    Sheria ya kuwakata 15% wadaiwa bodi ya mikopo elimu yasainiwa

    Hiii serekali inatetea maslahi ya wanyonge wenye kipato cha chini hadi rahäaaa
  17. W

    Nguvu ya mwanamke

    Inaonekana Dada ww ni mke mwema kabisa, wanawake wote wangekuwa kama ww maisha yangekuwa mwororo sana aisee
  18. W

    Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji: Aibu kwa serikali yenye nia ya kuendeleza viwanda

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wapo wakenya watakuja kuwekeza aondoke tuu
Back
Top Bottom