Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
hapo povu kweli limekutoka mkuu pole sanNg'ombe uliekatwa mkia ww
hapo povu kweli limekutoka mkuu pole sanNg'ombe uliekatwa mkia ww
Wa lumumbaWakili asie msomi ni yupi,wacha mahaba ya uke wenza mleta mada,
Ivi kuna mawakili wengine sio wasomi et? Akomae kwanza na lema ndio aje huku kungine aisee atakuwa kapata kiki ya kutosha sanaView attachment 446406
Wakili Msomi Tundu Lissu anatarajiwa kufika Mahakamani Juu siku ya leo ili kumtaka Jaji Mkuu kumtake IGP kumfikisha Mkurugenzi wa Jamii Media, Maxence Melo Mahakamani.
View attachment 446405
Tuliza makalio ww.hapo povu kweli limekutoka mkuu pole san
huna hata aibu eti melo wenu ..wew na nani povu linakutoka bila sababuSiasa bhana!
Ya lema kaufyata kaona hii ya Melo wetu hana hatia ndio pakutaftia kiki!
[HASHTAG]#freeMelo[/HASHTAG]
Kama hakuna kesi inakuwaje akae lupango muda wote huo??.Au unapaona lupango ni kama kanisani ati????.Hakuna kesi hapo, jamaa hana kosa lolote, kama vipi akamsaidie LEMA
Nyie ndio wanafiki wenyewe hana hatia sasa kwa nini wamemkamata na hawataki kumuachia?Siasa bhana!
Ya lema kaufyata kaona hii ya Melo wetu hana hatia ndio pakutaftia kiki!
[HASHTAG]#freeMelo[/HASHTAG]
Huyo ryan babel na yule mwingine barbosa,hawa si watu wema!..ni wanafiki sanaNyie ndio wanafiki wenyewe hana hatia sasa kwa nini wamemkamata na hawataki kumuachia?
Wanatuletea unafiki wa kijuha kabisa sijui wanapata faida gani?Huyo ryan babel na yule mwingine barbosa,hawa si watu wema!..ni wanafiki sana
[HASHTAG]#freeMelo[/HASHTAG]Hahah Tundu Lisu anauchungu zaidi na CeO wa JF kuliko Lema? Lema kama kuna somo lolote ulipaswa ujifunze kuhusu haya maisha huu ndo muda wenyewe usipojufunza sasa hivi basi utaendelea kuumiza familia yako kila siku!
Hakuna bora zaid ya mwingine sio lema sio melo dont make justificationHahah Tundu Lisu anauchungu zaidi na CeO wa JF kuliko Lema? Lema kama kuna somo lolote ulipaswa ujifunze kuhusu haya maisha huu ndo muda wenyewe usipojufunza sasa hivi basi utaendelea kuumiza familia yako kila siku!
Siasa bhana!
Ya lema kaufyata kaona hii ya Melo wetu hana hatia ndio pakutaftia kiki!
[HASHTAG]#freeMelo[/HASHTAG]