Kiwanda cha Dangote kusitisha uzalishaji: Aibu kwa serikali yenye nia ya kuendeleza viwanda

ni muhimu kuanza kuona inefficiency za logistics Tanzania, kutoa makaa ya mawe kusini kwa Tanzania ni either unatumia lori au treni au both (nadhani hii ndiyo inatumika), halafu yafike Dar es salaam, halafu yaende lindi, au yapite tunduru hakuna hata lami. Jamani this is stupid decision hata kama makaa ya mawe upewe bure , gharama za usafiri zitakumaliza. shida ya nchi yetu ni kukurupuka, strategically nchi inalose, kwani wawekezaji wote wanasikia na information hii inatuumiza kama nch, na ni kuwa maamuzi ya uongozi uliopita hayaheshimiwi na uongozi wa sasa, hi trend siyo nzuri
Viwanda vingine vinasafirisha vipi makaa yake ya mawe?
 
alikurupuka, kwa nini afunge,inamaana hakufanya cost benefit analysis, haiingii akilini
Makubaliano ya awali yalikuwa yanatekelezwa kwani uliwahi kumsikia akilalamika?
Tatizo limeingia jini kuharibu na kulazimisha mambo yasiyowezekana nani wa kufanya biashara ya hasara hata Kama mi ndo dangote nafunga kiwanda..
 
inawwezekana kuna tatizo lakini mwekezaji pia anahaki za kusikilizwa kwa sababu yupo hapa kutaka faida .. sasa kwanini wamlazimishe afanye mambo yatakayompa hasara kwanini wasikae chni wakaongea wakaona jinsi wanaweza kusaidiana na kurekebisha mambo kadhaa kwa faida ya pande mbili?
Tatizo ni ubabe na kuleta siasa kwenye mambo ya msingi, kingine mara nyingi product za hapa kwetu huwa ni ghali sana ukilinganisha na zinazotoka nje tatizo sijui huwa liko wap aiseee
 
kwani tatizo nini? hawa dangote walizea kuchukua makaaa ya mawe huko south na kuleta hapa tz . kwa matumizi yao. sasa serikali imepiga marufuku kuchukua makaa ya mawe nje wakati hapa ndani makaa ya mawe yapo. wameambiwa wanunue ya hapa kwetu, wanatishia kufunga kiwanda , kwa kisingizio cha kwamba materials ya kwetu ni gharama , sasa wanataka tuwape bure? au tuwauzie kwa shs. ngapi? je wakati wananunua materials south africa, na kuyasafirisha mpaka hapa tz. gharama zake ni ndogo, ukilinganisha na kununua makaa ya mawe hapahapa tz.? Jibu maswali yangu hayo.
Mzee biashara ni faida na makaa ya Mawe yapo kwenye grade sasa inawezekana yanayotoka south yana quality nzuri na bei chini magu anapotoshwa na wasaidizi wake duniani kote wafanya biashara wanaeshimika
 
Ndugu yake wa Rwanda anawavuta wawekezaji yeye anawafukuza. Sijuwi akili za wapi hizi. Huyu jamaa hana maadili ya kitanzania kabisa hapa tukubali tumepoteza uwelekeo.
 
Mzee biashara ni faida na makaa ya Mawe yapo kwenye grade sasa inawezekana yanayotoka south yana quality nzuri na bei chini magu anapotoshwa na wasaidizi wake duniani kote wafanya biashara wanaeshimika
yaani akimtibua dangote ataharibu sana!!!
maana mteja mmoja akija biasharani mwako halafu asiporidhika tegemea kupoteza wateja mia moja walahi nakwambia
 
kwani tatizo nini? hawa dangote walizea kuchukua makaaa ya mawe huko south na kuleta hapa tz . kwa matumizi yao. sasa serikali imepiga marufuku kuchukua makaa ya mawe nje wakati hapa ndani makaa ya mawe yapo. wameambiwa wanunue ya hapa kwetu, wanatishia kufunga kiwanda , kwa kisingizio cha kwamba materials ya kwetu ni gharama , sasa wanataka tuwape bure? au tuwauzie kwa shs. ngapi? je wakati wananunua materials south africa, na kuyasafirisha mpaka hapa tz. gharama zake ni ndogo, ukilinganisha na kununua makaa ya mawe hapahapa tz.? Jibu maswali yangu hayo.


Inawezekana kutoa makaa ya mawe SA ikawa rahisi kuliko kuyatoa mchuchuma kwa sababu ya transport cost, kutoka SA ni meli kutoka mchuchuma ni magari
 
kwani tatizo nini? hawa dangote walizea kuchukua makaaa ya mawe huko south na kuleta hapa tz . kwa matumizi yao. sasa serikali imepiga marufuku kuchukua makaa ya mawe nje wakati hapa ndani makaa ya mawe yapo. wameambiwa wanunue ya hapa kwetu, wanatishia kufunga kiwanda , kwa kisingizio cha kwamba materials ya kwetu ni gharama , sasa wanataka tuwape bure? au tuwauzie kwa shs. ngapi? je wakati wananunua materials south africa, na kuyasafirisha mpaka hapa tz. gharama zake ni ndogo, ukilinganisha na kununua makaa ya mawe hapahapa tz.? Jibu maswali yangu hayo.
Tunaomba utuwekee figures apa na kama kuna quality ya hayo makaa weka tuone..yaan namaanisha..kama quality ni sawa. bei ya south africa mpk kiwandan ikoje na bei ya Tz mpk kiwandan ikoje.
 
Back
Top Bottom