Kwa anaeweza kunikopesha pesa za kitanzania zipatazo Tsh Milioni 5 tusaidiane kwa hilo. Kikubwa sina dhamana kama vile nyumba, kiwanja ama shamba. Hivyo basi nipotayari kuweka dhamana yangu ya vyeti vyangu vyote kuanzia O Level hadi degree. Tafadhali kusiwepo na masihala katika jambo hili. Kwa yeyote alie tayari ani inbox.