Search results

  1. Feedback

    Rais Kagame wa Rwanda alishinikizwa kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa akatii, Je, Rais Magufuli atatii?

    Septemba 15, 2018 Rwanda iliwaachia huru wapinzani zaidi ya 2,000, miongoni mwa walioachiwa huru ni pamoja na Victoire Ingabire Umuhoza, Kiongozi wa Chama Cha FDU aliyekuwa anatumikia kifungo cha miaka 15, alikuwa jela tangu 2010 kwa makosa ya uhaini. Wiki kadhaa baada ya Victoire kuachiwa...
  2. Feedback

    KUB kupangua Baraza Kivuli la Mawaziri, Zitto kuwemo?

    Kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe anatarajiwa kubadilisha baraza lake na kuingiza sura mpya. Sababu ya mabadiliko hayo ni kutokana na wizara kuongezeka kutoka 18 hadi 21. Tofauti na baraza lilopita lililohusisha wabunge kutoka vyama vya NCCR, CUF na CHADEMA...
  3. Feedback

    Maadui wa CCM wanatengenezwa na wanaCCM wenyewe

    Propaganda zinazosambazwa na vijana wa chama cha Mapinduzi CCM na baadhi ya viongozi wake zinakiongezea chama maadui bila sababu za msingi. Imekuwa ni kawaida kwa vijana wa chama cha Mapinduzi kumuona kila mtu adui yeyote anayekosoa viongozi wake, chama au serikali, binafsi naona kama "ujinga...
  4. Feedback

    INATOSHA: Asante Mbowe, Maalim Seif, Zitto, Mbatia, Lissu, DENI limebaki kwetu wananchi

    BARUA FUPI YA WAZI KWA WAPINZANI WOTE Miaka 25 ya kupigania maslahi ya Mtanzania ni mingi sana, leo elimu ya uraia imekuwa ukilinganisha na miaka ya nyuma, kama kuna mtu hajawaelewa basi tumsamehe. Mmeteswa, mmetekwa, mmewekwa ndani, mmekuwa mkibezwa na watawala na wafuasi wao, wengine...
  5. Feedback

    Lowassa ashauriwe kustaafu siasa ili abaki kuwa mshauri wa chama

    Sababu kuu ya Dr. Slaa kujiengua Chadema ilikuwa ni ujio wa Edward Lowassa. Kwenye press conference yake Slaa alisema, "is Lowassa an asset or liability", kwa uelewa wangu Slaa alimaanisha, Je Lowassa amekuja kukijenga chama au kuna kitu anakitafuta, na asipokipata ataendelea kuwa loyal kwa...
  6. Feedback

    Spika naye lazima ajiheshimu au alazimishwe kukiheshimu kiti

    Usipojiheshimu usitegemee kuheshimiwa. "Mdee kikalishe" "hivi kati ya Wenje na Masha nani mwanamke" nilimsikia Spika akitamka. Kwa wanaomtetea Ndugai hebu mtueleze haya maneno yalistahili kutamkwa na kiongozi mkuu wa moja ya mihimili yetu? Kweli? Mfano wewe ni binti halafu unamsikia baba yako...
  7. Feedback

    Kwa ujinga huu ni ndoto Tanzania kuwa 'Super Power' kwenye ukanda wa EAC

    No wonder kwanini Tanzania tunaendelea kuburuzwa na kutengwa kwenye EAC, kama tutaendelea kupeleka wawakilishi EALA kwa mihemko ya kisiasa, yaani unampeleka Fancy kutetea taifa kufanya lobbying mbele ya wanasheria nguli kutoka Kenya, Uganda unawaacha wanasheria wazoefu kina Taslima, Macha kwa...
  8. Feedback

    Magufuli, uchumi haujengwi kwa kuzuia mikutano na kubana vyombo vya habari.

    Kufungia vyombo vya habari au kuzuia mikutano ya kisiasa kamwe hakukuzi uchumi, sana sana kutaongeza umasikini kwa wananchi ambao kula yao inategemea siasa au kuandika habari. Kuna mambo muhimu kwako ambayo unatakiwa kuyafanya ili ukuze uchumi. Mwenzako Trump kaanza kwa kujitoa kwenye biashara...
  9. Feedback

    Magufuli, 'be careful' unapoliingiza Jeshi kwenye uongozi wako

    Utaratibu wa Rais Magufuli kuwatumia askali wa JWTZ kwenye uongozi wake unatakiwa kufanywa kwa tahadhari kubwa. Tumeshuhudia katika teuzi zake nyingi akiteua makamanda wa JWTZ kuwa ma RC, ma DED, ma RC, ma RAS, vingine vikiwa vyeo vya kisiasa, na hivi karibuni amemteua Mkuu wa Majeshi mstaafu...
  10. Feedback

    Sakata la Lissu "Handle with care"

    Tumeshuhudia siku za hivi karibuni polisi imekuwa ikihangaika na matamshi ya Mbunge wa Singida Mashariki Mh. Tundu Lissu kuwa rais Magufuli ni "dikteta uchwara". Hebu tujiulize nini hasa lengo la hili sakata kwa pande zote zinazovutana. Haiwezekani mtu unakamatwa/shitakiwa kwa kosa fulani...
  11. Feedback

    Video hii inatoa ujumbe gani kuelekea uchaguzi wa M/kiti CCM.

    Siongezi wala kupunguza chochote jionee mwenyewe.
  12. Feedback

    Mahakama ya mafisadi kitanzi kwa wanyonge

    Kwa mwonekano wa nje hii mahakama inaonekana kama kitanzi kwa mafisadi papa, kinyume chake kitakuwa kilio kwa watu wanyonge wasio na hatia, wasio na majina, wasio na uwezo wa kuhonga majaji. Litakuwa kaburi kwa watu walioonekana na watakaoonekana kwenda kinyume na wateule, hawa ni pamoja na...
  13. Feedback

    Gharama ya kupuuza maazimio ya bunge

    Bunge ni moja ya mihimili mikuu mitatu ya Taifa ambayo ni Dola, Bunge na Mahakama. Katiba inafafanua wazi majukumu ya kila mhimili na kutoa mgawanyo wa madaraka miongoni mwa mihimili hiyo. Gharama ya kupuuza maazimio au utekelezaji wa mhimili mmojawapo ni kubwa kuliko kutekeleza. Bunge...
  14. Feedback

    Serikali inavyowajali wastaafu

    Familia ya aliyekuwa katibu mkuu mstaafu wa kwanza katika ofisi ya Rais, marehemu Thimothy Apiyo, imeishukuru Serikali kwa kuweka nishati ya umeme katika Kijiji cha Marasibora, wilayani Rorya, siku mbili baada ya kifo cha ndugu yao. Mwananchi.
  15. Feedback

    Nashukuru Mungu nimepata 'Merit'

    Ndugu wana jamvi wenzangu ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu. Nimepata 'Merit' in Msc. Operations Research and Statistics. Kwenye hii course tulikuwa wanafunzi 15 toka mataifa mbalimbali Mtanzania nikiwa pekeyangu. Mmoja tu ndiye aliyepata Distinction, mmoja...
  16. Feedback

    Hivi JK alijua anaongea na kundi gani pale Davos?

    Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel . JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar...
  17. Feedback

    Kikwete tenda wema uende zako

    Takribani miaka mitatu na nusu imebaki sasa kuwepo madarakani, usipoangalia kwa makini utafikiri ni mingi mno lakini nakukumbusha kuwa muda wako u karibu kwisha kama ni jua ni la magharibi. Kwenye utawala wako kuna mengi mazuri umeyafanya lakini vile vile kuna mengi mabaya umeyafanya kubali...
  18. Feedback

    £1m for Gaddafi 'dead or alive'

    A £1 million reward has been offered for the capture of Colonel Muammar Gaddafi as Foreign Secretary William Hague called on the Libyan dictator to recognise his 42-year rule was over and stand down his forces. Soma hapa £1m for Gaddafi 'dead or alive'
  19. Feedback

    Mkurugenzi Mtendaji BP ashtakiwa mahakamani

    MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imemshtaki katika Mahakama Kuu ya Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya BP, Engelbert Kongolo ikiiomba aeleze kwa nini asifungwe kwa kukataa kufuata amri ya utii (Compliance Order) iliyotolewa na mamlaka hiyo. Ewura ilifungua...
  20. Feedback

    Interpol wanasa bilionea mwingine Arusha

    Wakili maarufu jijini Arusha, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na kiasi kikubwa cha fedha kwenye akiba yake binafsi, zinazodaiwa kuingia kwa njia isiyo halali. Wakili huyo aliyejijengea umaarufu nchini kutokana na uendeshaji kesi zake, anadaiwa kukamatwa Agosti 2, mwaka huu wakati...
Back
Top Bottom