Serikali inavyowajali wastaafu

Feedback

JF-Expert Member
Mar 14, 2011
7,988
4,507
Familia ya aliyekuwa katibu mkuu mstaafu wa kwanza katika ofisi ya Rais, marehemu Thimothy Apiyo, imeishukuru Serikali kwa kuweka nishati ya umeme katika Kijiji cha Marasibora, wilayani Rorya, siku mbili baada ya kifo cha ndugu yao.

Mwananchi.
 
Back
Top Bottom