Familia ya aliyekuwa katibu mkuu mstaafu wa kwanza katika ofisi ya Rais, marehemu Thimothy Apiyo, imeishukuru Serikali kwa kuweka nishati ya umeme katika Kijiji cha Marasibora, wilayani Rorya, siku mbili baada ya kifo cha ndugu yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.