Hivi JK alijua anaongea na kundi gani pale Davos?

Feedback

JF-Expert Member
Mar 14, 2011
7,988
4,507
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .

Lunyungu rudi utupe taarifa kamili kama ulivyoahidi

 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .

Tuna matatizo makubwa ya Uchumi, lakini matatizo makubwa zaidi ni kuwa na hawa watu wawili:
Jakaya Mrisho Kikwete - URT President
Pinda Mizengwe URT Prime Minister

WE have FOUR Solid years for them to go; wasting another 10 years?
 
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .
Nimeona kwenye youtube mwarabu yule chairman Heikal wa CITADEL CaPITAL amelalamika kuhusu kukamishwa na rushwa katika miradi wanayotaka kuifanya Tanzania,Kenya na Ethiopia lakini hakutaja ni nchi gani.

Oginga alipozungumzia akasema sio Kenya.....sasa Kiwete anaulizwa swali kuhusu elimu yeye halijibu swali hilo bali inaonekana anajibu malalamiko ya Heikal......MY TAKE Bandwith anayo lalamikia Heikal ni Kikwete
 
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .
Kikwete alikuwa over excited utadhani hakujiandaa hata alipokuwa akitambulishwa na Brown hakusikia hadi Odinga akamshtua kilichomaliza confo lake ni pale alipobabaika kujibu swali la IT education nilimwona kachanganyikiwa kabisa.
 
mi bado naangalia youtube sasa hivi, ...............ila nimemwona JK akiwa na desa la nguvu.................
 
JK ni kama mtoto wa secondary ni kilaza kazi yake ni kukenua, yeye kwake barabara anaona ni maendeleo wakati watu wanakufa na umaskini

Mie nilishamsamehe na kuacha kufuatilia mazungumzo yake siku nyingi tu! U-Rais ni "mgumu" na unahitaji mtu "makini" na siyo "wito" kama baadhi ya watu wanavodhani.
 
Hivi hakuna njia yoyote ambayo tunaweza kupunguza miaka ya jk? Mie naona miaka Minne iliyobaki Tanzania itakuwa kama sio nchi tena! Jamani kwanini tusifikilie njia mbadala? Kwani lazima amalize miaka yote?

swali la msingi kabisa,ahsante,
 
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .

Hata akichapia huyo ndiyo rais wa JMT mpaka 2015. Na kuna tetesi akaongeza tena miaka 5.Sheria si misaafu.
 
I can understand him he is frustrated this nations has bg problems than his head can take n think and when he is trying to solves he finds out he has led the nation to more large problems,so he fls hopeless,helpless and confused,
 
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .

JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .

Watanzani tuna mosi jamani, sijui tulimkosea nini Mungu!!
Alipataje uraisi huyu kiazi!? Mtu mweupe kabisa......anakuwa raisi! tulidanganyika nchi nzima! na tunaendelea kumvumilia?
 
Back
Top Bottom