Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Wakuu nimeona videos za JK anaongea kwenye Forum .Kwanza Brown hakumtambulisha kwa staha sana kama alivyo fanya kwa Zuma na Odinga .Najua mtabisha lakini kuna ushahidi wa jinsi alivyo mtambulisha JK kwenye panel .
JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .
JK naye kapewa nafasi anaanza kuongea kama anaongea na wazee wa CCM mkoa wa Dar .Jamaa kila mahali ni kuchapia oh Tanzania wakati tunapata uhuru tulikuwa na barabara 3 tu za lami .Akaanza porojo na kuacha maswali ya msingi .Je ni kweli aliona yuko sahihi na kuacha maswali ya msingi ? Ghalfa akacheka mwenyewe watu wamekauka tu ukumbi mzima .Ni kweli hakujua watu wanaongelea pale kitu gani ? I stand to be corrected jamani ila ushahidi upo nitaumwaga hapa soon wa kituko chake cha hadithi za barabara miaka 50 iliyopita .
Lunyungu rudi utupe taarifa kamili kama ulivyoahidi
Last edited by a moderator: