Bila shaka umekutana sana na picha hii katika mitandao, mfahamu mhusika wa picha hiyo. Nelson ni mkazi wa Kagiso, Krugersdorp nje ya mji wa Johannesburg, amezaliwa April 6, 1987 akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto saba.
Nelson amekulia katika mitaa ya wahuni, alikuwa muhuni pia wakati wa...
Bandari ni moja ya chanzo kikubwa cha uchumi wetu, kuna baadhi ya mambo yanatokea TPA kwanzia bandari ya Dar es salaam na Bandari za maziwa mfano Mwanza, Kigoma na Nyasa.
Kuna upigaji wa hali ya juu katika hizi bandari wakubwa wanapiga kesi zinapelekwa kwa wafanyazi ili kulinda cheo, tunakuomba...
Nina miaka miwili toka nifike hapa Dar kikazi,kitu ambacho nilikuwa na ndoto ya kuja kukiona na kupiga picha ni Ikulu ya Dar es salaam(white house), lakini nilicho kishuudia ni usiri wa hali ya juu hadi kuweka mabati usiweze kuona ndani wakati Kwa wenzetu Kama Marekani ikulu imekuwa Kama kivutio...
Nina TV yangu kampuni ya PHILIPS imegoma kuwaka toka juzi inawaka taa nyekundu tu, nilijua kutotumia remote nikaenda kununua lakini wapi haiwaki. naombeni msaada Kwa anayejua fundi wa hizi TV, Sio smart ni ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana nimemaliza chuo mwaka huu ngazi ya Degree, katika makuzi yangu ya kimasomo kuanzia darasa la kwanza hadi la saba nimekulia kwa bibi yangu mzaa mama huko kijijini, wakati naandikishwa darasa la kwa bibi aliniandikisha la ukoo na la utotoni la upande wa mama.
Nilikuwa nakuja Dar...
Hivi ving'amuzi vya star times vimekuwa sana kero kila Mara kuharibika, Mbona wezenu multchoice (DSTV) hawa huu usumbufu. Toka ninunue king'amuzi chenu hii zaidi ya Mara mbili kinaharibika na nikifika kwenye ofisi zenu kuna ujanja mwingi sana wa kupingwa bei ya matengenezo na mafundi wenu...
mimi ni mkristo wa Roman Catholic (RC) nikiwa darasa la tano nilibahatika kwenda mji mtakatifu Israel coz shule yetu ilikuwa inadhamini na watu kutoka nchi hiyo kila mwaka kuna wanafunzi walikuwa wanaenda kwa wiki mbili haijalishi dini gani.Toka nilivyo toka Israel hadi nilivyo kuwa sasa mtu...
Tunapulizia dawa za kuuwa wadudu majumbani, kwenye ofisi na mazingira mbalimbli.kama vile mbu ,viroboto, mende,kunguni,na wadudu wengine, tunatoa huduma bora hutojutia daima.
Call: 0655 166597
: 0766 006509
Tupo dsm- Mabibo
Karibu tukufanyie usafi
Nimekuwa mpenzi wa kufatilia TAMASHA hili la FIESTA toka mwaka 2008,pale Kusaga alipo mleta 50 CENT,miaka ya nyuma hili tamasha lilikuwa la kuvutia Sana kuanzia maandalizi hadi juu ya stage hadi nchi Za jirani walikuwa wanalifatilia, lakini Miaka ya Hivi karibuni naona limepoteza mvuto...
Nimekuwa mpenzi wa kusikiliza vipindi vya clouds FM na kuangalia clouds TV toka REDIO FREE AFRICA ilipoanza kupoteza ubora wake, lkn tatizo ya redio hii ya clouds matangazo nimengi Sana haipiti hata Dakika kumi Matangazo hadi ladha ya vipindi inapotea,najua Matangazo ndo chanzo cha kipato cha...
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza mwaka huu form six, nilichaguliwa first selection. Kwenye uchaguzi wa vyuo nilijaza vitatu hadi sasa viwili tayari na jina langu halipo, kimebakia NIT ndo chuo nilichochagua cha kwanza. Lakini hadi sasa hawajatoa majina nimechoka kukaa mataani.
Anayejua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.