mahingah
Senior Member
- Oct 4, 2016
- 199
- 275
Bandari ni moja ya chanzo kikubwa cha uchumi wetu, kuna baadhi ya mambo yanatokea TPA kwanzia bandari ya Dar es salaam na Bandari za maziwa mfano Mwanza, Kigoma na Nyasa.
Kuna upigaji wa hali ya juu katika hizi bandari wakubwa wanapiga kesi zinapelekwa kwa wafanyazi ili kulinda cheo, tunakuomba fanya uchunguzi kuanzia kwa Director General (DG) na wafuasi wake; pesa za nchi zinapigwa na kesi wanapewa wengine, tunakuomba fanya uchunguzi kwa hili swala.
Kuna upigaji wa hali ya juu katika hizi bandari wakubwa wanapiga kesi zinapelekwa kwa wafanyazi ili kulinda cheo, tunakuomba fanya uchunguzi kuanzia kwa Director General (DG) na wafuasi wake; pesa za nchi zinapigwa na kesi wanapewa wengine, tunakuomba fanya uchunguzi kwa hili swala.