"HII NDIO SABABU YA SHUSHO KUMUACHA MUMEWE"
"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili...
Daaah...we jamaa kweli zombi yaani ulishachukua uamuzi mzuri tu eti mtu mzima akautengua😂 watu wazima wenyewe ndio awa wamiaka wasiojiheshimu endelea nae mpk akuuee mmbwa ww
Asilimia kubwa ya waalimu wa veta ni wale wanafunzi waliosoma hapo wakafanya vizuri hubakizwa na baadae kupelekwa kusoma na kurudi kufundisha au huu utaratibu haupo tena?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.