INAUZWA Pikipiki boxer BM 125 inauzwa

shauri yako mficha uchi hazai.
Mkuu yaani juzi tu tumetoka ongea leo ushakiuza? No yako mwisho si 794? Khaa
Haya hongera
Mkuu ww pia ni kama una tatizo mahali, mhusika anakujulisha ashauza ww hautaki, na cha kushangaza unasema juzi tu mmeongea, je, kama mteja kapatikana jana wakaelewana akauza, au tuseme wewe uliblock wateja wote wasiwasiliane na ndugu muuzaji?
 
Mkuu ww pia ni kama una tatizo mahali, mhusika anakujulisha ashauza ww hautaki, na cha kushangaza unasema juzi tu mmeongea, je, kama mteja kapatikana jana wakaelewana akauza, au tuseme wewe uliblock wateja wote wasiwasiliane na ndugu muuzaji?
uwe unaacha ujuaji sura kama pumbu la babu yako.
Wewe unaelewa hata tunachoongea?
 
shauri yako mficha uchi hazai.
Mkuu yaani juzi tu tumetoka ongea leo ushakiuza? No yako mwisho si 794? Khaa
Haya hongera
ardhi dar es salaam ni hot... uwezi kuitangaza seriously ukakosa mteja... haki vile nimesha kiuza...!

mlikuwa wanunuzi zaidi ya wanne ametokea mmoja amefika bei na amekinunua...!​
 
Mkuu ww pia ni kama una tatizo mahali, mhusika anakujulisha ashauza ww hautaki, na cha kushangaza unasema juzi tu mmeongea, je, kama mteja kapatikana jana wakaelewana akauza, au tuseme wewe uliblock wateja wote wasiwasiliane na ndugu muuzaji?
wanunuzi wa JAMIIFORUMS wananunua kwa simu site awataki kufika...!

nimepigiwa simu na watu zaidi ya 20 wa JAMIIFORUMS waliokuwa wana kitaka wote ilikuwa ni ahadi tu...

sasa mimi ninapo uza kitu siwezi kumsumbua mnunuzi ili anunue...!

luckily alie kinunua hatoki JAMIIFORUMS... mtu ana nia na kitu hakwambii kuwa bwana enh ebu vumilia hadi siku fulani tutakuja kufanya business anakaa kimya... pengine alitegemea mimi muuzaji nianze kum'bembeleza🤣🤣🤣​
 
ardhi dar es salaam ni hot... uwezi kuitangaza seriously ukakosa mteja... haki vile nimesha kiuza...!

mlikuwa wanunuzi zaidi ya wanne ametokea mmoja amefika bei na amekinunua...!​
🤣🤣🤣🤣khaaaa kiwanja tangu 2016 na napita hapo nakiona nauliza unasema bado kipo wewe umeuza lini kwani ndugu yangu?🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom